Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Chelsea ni timu inayoenda kushuka daraja mzee [emoji23],mbona unajifariji pumba .....au mnashabikia majina mpira hamuaangalii[emoji23][emoji23][emoji23]1. Chelsea
2. Man City
3. Liverpool
4. Man Utd
Kwa kawaida huu msimu unaokuja watu wengi wataibeza Chelsea kutokana namna mambo yalivyokuwa msimu uliopita. Lakini pia unaweza kuwa msimu mzuri kwa coach Pochettino kwa sababu ana uzoefu na EPL. Sababu nyingine pia msimu ujao Chelsea hatakua na mechi za UCL au Europa kwa hiyo focus yake inaweza baki kwenye EPL pekee na ndio kitu kiliwaondoa Arsenal kwenye mbio za ubingwa mwaka jana walishindwa ku prioritize washike lipi. Chelsea akishindwa kubeba basi anashika nafasi ya pili. Maoni yangu
Hivi wewe kwa akili zako za mpira unadhani Chelsea inaweza shuka daraja.? Unaujua mpira au unahadithiwa mpira wewe? Tukisema nyinyi hamjui mnaanza kutukana.Chelsea ni timu inayoenda kushuka daraja mzee [emoji23],mbona unajifariji pumba .....au mnashabikia majina mpira hamuaangalii[emoji23][emoji23][emoji23]
tot watakuwa nafasi ya 51- Man U
2- Arsenal
3- Man City
4- Newcastle united
N.B Liverpool watakuwa wa 6/7!
Chelsea watakuwa wa 14/15
Mkuu wakati tunazitazama timu zetu pendwa,kuna hawa watuMsimu unaokuja kwangu naona utatoa mabingwa wa wawili usinichoshe kuniumiza.
Maana utakuwa msimu mgumu kuwai kushuhudiwa toka EPL ianzishwe.
Mazoea tatizo saana,historia haihusiki hapa.city
liver
arsenal
newcastle
1. Man city1- Man U
2- Arsenal
3- Man City
4- Newcastle united
N.B Liverpool watakuwa wa 6/7!
Chelsea watakuwa wa 14/15
Kupata vichekesho hivi tunatuma kwenda ngapu?Man City ata drop msimu huu.
1. Liverpool
2. Arsenal
3. Man City
4. Chelsea
Arsenal haiwezi kua namba 2. Ni namba 1 tu.Man City ata drop msimu huu.
1. Liverpool
2. Arsenal
3. Man City
4. Chelsea
1. Man City - Nawapa ubingwa japo safari haitokuwa rahisi kutokana na uchovu wa treble.1- Man U
2- Arsenal
3- Man City
4- Newcastle united
N.B Liverpool watakuwa wa 6/7!
Chelsea watakuwa wa 14/15
NAMUONA ARSENAL AKIPOROMOKA SANA MSIMU UJAO
1. Chelsea
2. Man City
3. Liverpool
4. Man Utd
Kwa kawaida huu msimu unaokuja watu wengi wataibeza Chelsea kutokana namna mambo yalivyokuwa msimu uliopita. Lakini pia unaweza kuwa msimu mzuri kwa coach Pochettino kwa sababu ana uzoefu na EPL. Sababu nyingine pia msimu ujao Chelsea hatakua na mechi za UCL au Europa kwa hiyo focus yake inaweza baki kwenye EPL pekee na ndio kitu kiliwaondoa Arsenal kwenye mbio za ubingwa mwaka jana walishindwa ku prioritize washike lipi. Chelsea akishindwa kubeba basi anashika nafasi ya pili. Maoni yangu