Natumai wengi tutakua tushaanza kujua mambo mbalimbali ya vyuo vyetu... tupaene habari kwa chochote ulichokikuta au mambo yalivyo kwa ujumla..... Mimi nipo ardhi ni full assignments...yaani no bata jamani.. na boom ndo limekawia ni shida tupu...
Karibuni wadau
Karibuni wadau