Wale wa Geography msaada wenu hapa tafadhali

Shukrani sana kwa niaba ya yeyote atakayenufaika
 
Ni hivi, tuambie ni darasa la ngapi unasoma na tutakusaidia kujua ni vitabu gani au website gani unaweza kujifunza ili uweze kujibu haya maswali!!
Au wewe unategemea tukwambie jibu ni A, C, D..... , Hapana hio haiweekani, tutakuwa hatukusaiidi
"Mwenye Njaa akiomba samaki, mpe ndoano akavue mwenyewe ili asiombe tena"...
 
Kati ya kitu wasomi wetu hawajui ni kuji position. Ww ni mfano hai.

Kama unajua ni unajua tu hakuna maneno mengi na kama haujui ni haujui tu maneno mengi hayakufanyi uonekane unajua.

Mambo ya mwenye njaa sijui blah blah mbona hamsemi hvyo kwenye michongo ya fedha live...punguza unafiki
 
Sasa nimejua wewe ni kilaza...
Usilazimishe elimu. nenda kafanye shughuli zingine
Naona mpaka una siredi ya kuomba ujibiwe maswali ya kiswahili....
Nakwambia hakuna mtu atakaye kuja kukumbia jibu ni A.B.C.D, narudia tena hakuna

I dare huyo unaemuona anajua aje kukujibia kirejareja hivihivi.....
Hata kama sijui, haya maswali ninawezapata majibu yake kwenye mtandao lakini kwanini nikujibie????

Tayari umeshaharibu na sasa hakuna atakayekukujibia
 
Sasa paper zima unataka watu wa JF wakusovie? Kuwa serious

Nilitarajia ulete maswali mawili matatu ambayo ni complex tusaidiane.

Unaleta hadi swali la solar system kuwa serious mkuu
 
Kweli kabsa haupo serious ndg tafuta maswali magumu lete ila sio ujibiwe paper lote kusoma hakupo ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…