Wale wa mapodari ,wacha nicheke kwanza !!! Huko Mikoani kunashangaza

Wale wa mapodari ,wacha nicheke kwanza !!! Huko Mikoani kunashangaza

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Ila mikoani wadada kusema kweli mnatisha kwa jinsi mnavyojipodoa , mikoani ni mimi na wasiojipodoa unawakuta wapo natural na rangi zao za bilingani.
ILa wanaojipodoa wanaharibu kila kitu hujui ni mtu au ni shetani.
 
1698924550966.jpeg
 
kuna mdada alinijia na Yale mapoda mekundu Kama wanayopakaga wacheza nguo tukatoka out mpaka kwenye mashamba ya mpunga tukafika tukatulia kwenye nyasi fupi Kama tuko garden si unajua bush. Basi ma hag na ma kiss kwa sana. Nlikua nmevaa tishet nyeupe ilibadilika rangi in few minutes
 
Back
Top Bottom