Wale wa mbeya university of science & technology (must) hapa

Wale wa mbeya university of science & technology (must) hapa

ni za kumwaga, asilimia kubwa tunakaa in-campus .
if you need more about must call at
0764 386 038
0659 663 312
 
kwa hiyo naweza nikakaa hostel miaka yote minne sio?

mkuu pale hata ukitaka kulalia vitanda viwili kwa mpigo wewe tu! (joke)

lakini ni kweli mkuu, nafasi zipo nyingi tu!
 
Kaka haujasikia dukuduku la kuhusu reporting day ya mwaka wa kwanza!
 
mkuu pale hata ukitaka kulalia vitanda viwili kwa mpigo wewe tu! (joke)

lakini ni kweli mkuu, nafasi zipo nyingi tu!

hahah kumbe itakuwa nafuu sana kwangu,mambo ya kupanga ikuti,iyunga sio lazima
 
Kaka haujasikia dukuduku la kuhusu reporting day ya mwaka wa kwanza!

mbona joining instruction imeshatoka,nenda kaidownload na reporting day ni tarehe 20 october mwanzo wa orientation,japo masomo yanaanza tarehe 28 october
 
Me mdogo wenu nimechaguliwa pale kupga diploma in civil engineering so 2takuwa pamoja
 
wakuu hta mm nko MUST,ila kna ukwel wwte kwa hli la kwmba hostel chmba kmoja knachkua watu 8??
 
wakuu hta mm nko MUST,ila kna ukwel wwte kwa hli la kwmba hostel chmba kmoja knachkua watu 8??

Yeah nndo walivyoandika kwenye joining instruction yao i meana kunakuwa na deka nne in one room
 
Back
Top Bottom