Nanah Adrian
New Member
- Apr 22, 2015
- 1
- 0
Chabby yupo hapa jijini Dar anakula maisha, nitafute inbox nikupe namba zake@ Shekau
Ha ha ha ha......namkumbuka sana Njunwa alinipa adhabu ya kufagia barabara mwaka mzima. Hv Misana, Katondora Muchungu Sikazwe wapo? Mi nilimalizaga long time ago 2000....mwendo wa treni tu mpaka home
KIswahili... kiingereza.. kifaransa... Na kilimo.
Enzi zetu kulikuwa na Fupa kama headmaster, deputy wake alikuwa mwanakondoo. Mrefu wote kuliko wote alikuwa le prof Rutagengwa. Enzi hizo kuoga ilikuwa chemchem kwenye bomba la kijiji. Kule jirani na 6EGM kulikuwa na mama Salim mpika ubwabwa. halafu kutuliza mawazo ni baa ya CDA sijui kama ipo. nilikuwa pale five na six 1993 -95.
Njunwa na Katondolaa ni marehemu... wamefariki mwaka huu katikati hapo.... Sikazwe ni afisa elimu Geita
RIP katondoraNICK WA 16,Katondora bado yupo!mwalimu mrefu kuliko wote Milambo men.Vipi Kimbembe?
Wamojaaawalamboooo
huyo alikuwa anaitwa "nteye " jamaa wa kigoma ilikuwaga noma sana siku hiyo halafu walimchomoagaNani anakumbuka kile kisa cha yule dogo alikutwa anawanga staff, back in 1999's, enzi za Ben kiko reporter wa rtd tabora