huyo alikuwa anaitwa "nteye " jamaa wa kigoma ilikuwaga noma sana siku hiyo halafu walimchomoaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi kusikia vijana mnaisifia na kuipenda shule yetu. Sasa naona mnajiita walambo... sawa site sasa tumestaafu ila bado naipenda shule yangu Milambo. Nilikuwa pale 1974-75. Mhe. Lowassa alikuwa pale kabla yangu 1972-73. Shule imetoa mawaziri, makatibu wakuu, na wanasheria wengi sana.. akina Palamagamba Kabudi n.k.
Milambo imepoa sana aisee 2009 nilikwenda Tabora nikafika mpaka milambo iko tofauti sana na enzi zileeeehuyo alikuwa anaitwa "nteye " jamaa wa kigoma ilikuwaga noma sana siku hiyo halafu walimchomoaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Milambo imepoa sana aisee 2009 nilikwenda Tabora nikafika mpaka milambo iko tofauti sana na enzi zileeee
nimemaliza enzi za majubwa ...nakumbuka aliwahi kumpa makonde ya hatari mwanafunzi mmoja alikuwa anaitwa Hamad kisa ilikuwa dent anakula kifaa cha "Jubwa" ilikuwa noma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
bado kna wanaume tuInaa maana baadaye Milambo ilikuwa mchanganyiko na wasichana?
Nikwambie Kijana Complex. Milambo tulikuwa wamoja kweli kweli. Tabora Boys/Girls walikuwa nje ya mji hivyo tulikuwa tukiwaita "washamba" Milambo na Kazima ndiyo wa mjini lakini Kazima ilikuwa O level tu hivyo Wazee wa mji tulikuwa siye. Wanasheria wengi nchini wamepita pale. Kaka yake Mhe. Lissu aitwaye Allute sasa wakili A town kapitia pale. Ooh Milambo thanks you are still there. Vijana itunzeni vizuri shule Yetu. Mama Milambo katulea, katutunza, katulisha, katugea elimu bora, ametengeneza majina makubwa nchi hii. Long live Milambo.Duh, 73.? Vipi kipindi hiko.? Watu walikuwa watata.?