The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
mwanangu nyarusi nimekutana naye makambako,ni head master w naboti secondaryMkuu umenikumbusha mbali Sana Na mwembetogwa
Marehem Gabakama ndo aliirekebisha Mtogwa, jamaa alikuwa mbabe mpaka bas, ndo kipindi ambacho Mtogwa ilianza kufanya vizuri A-level
nasikia yule mzee jumba lilitiwa X ndo maana mwenyezi akalibomoa!!
Sasa na vile vident alivyokuwa anavitembelea!!