WALE WA MWENGE UNIVERSITY(MOSHI)st. agustine panga mstari hapa

WALE WA MWENGE UNIVERSITY(MOSHI)st. agustine panga mstari hapa

Kipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.
 
Kipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.

kwa kuongezea ni zao la SAUT na wanatoa hadi bsc in edu,
 
Hapo kuna marashi ya kahawa si mchezo.Msisahau mablanket na koti
 
kweli kabisa blanket muhimu sana na baridi pale ndio usiseme kama vp acha niwahi si unajua tar.15-09-2012 sio mbali
:flypig:
 
kweli kabisa blanket muhimu sana na baridi pale ndio usiseme kama vp acha niwahi si unajua tar.15-09-2012 sio mbali
:flypig:

unistue kaka ukifika mwana mi niko pale ndio namalizia inshort kiko poa
 
kiukweli kwa degree ya elimu pale ni TOP OF OTHER UNIVERSITY anaebisha aje na vithibitisho ukifika jiandae kupiga msuli
 
Kipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.
ushauri mzuri la sivyo sap itakuhusu hahaha
 
Mnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge
 
Mnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge
mbona povu jingi mdomoni we hata research hujui kufanya unaangalia mtu mmoja kweli wanafunzi hawatafikia malengo yao kama research ya mwalimu ndio hii haha jipange urudi tenaa
 
kweli kabisa blanket muhimu sana na baridi pale ndio usiseme kama vp acha niwahi si unajua tar.15-09-2012 sio mbali
:flypig:

baridi ipo ila si kivile then kuwa makini sana mkienda 1st year mtauziwa msosi buku jero ila bei ni buku kuwa mjanja kale sehemu ya buku then uwe makini na kuwahi kama unataka kukaa ndani na umalizane nao mapema kwenye suala la pay na kila kitu ni benki we unaenda na slipu tu... ukikosa chumba tutaftane niku direct kwa chumba cha bei poa au vipi
 
Kipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.

embu nisaidie kumweleza piritton hapo nondo zinazotoka mwuce zikoje naona hajaelewa somo bado asee anajua labda ni ujiko
 
Mnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge[
hahah rudi kaka nikupe lecture
 
Mnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge

hapo ume KU-RU-PU-KA!!!
 
Back
Top Bottom