Kipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.
ushauri mzuri la sivyo sap itakuhusu hahahaKipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.
mbona povu jingi mdomoni we hata research hujui kufanya unaangalia mtu mmoja kweli wanafunzi hawatafikia malengo yao kama research ya mwalimu ndio hii haha jipange urudi tenaaMnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge
kweli kabisa blanket muhimu sana na baridi pale ndio usiseme kama vp acha niwahi si unajua tar.15-09-2012 sio mbali
:flypig:
Kipo Moshi eneo liitwalo Longuo karibu na Kcmc na ushirika. Kilipoanza kilikuwa na programme ya education. Waliopitia huko wanakirank kama chuo cha kwanza kwa ubora wa digrii ya ualimu. Binafsi nilitamani sana niende huko ila naenda DUCE kukwepa gharama. Cha msingi ukifika huko piga kitabu kama wanavyofanya wengine. Naomba kuwasilisha.
Mnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge[
hahah rudi kaka nikupe lecture
Kiko nchi gani hcho chuo mkuu?
Mnajisifu nini nyie,acheni matusi nyie,tangu lini mwenge imekuwa bora kwa education? Ni chuo cha hali ya chini kabisa,vilaza wamejaa pale, kuna jamaa mmoja ametimuliwa kwa fimbo na wanafunz hapa shuleni kisa hana uwezo wa kufundisha na ni zao la mwenge