Habari zenu diploma holders wenzangu. Mie nilifuatilia NACTE kuhusu kwa nini am still checking in progress kwenye profile yangu na majibu niliyo yapata ni kama ifuatavyo.
1. Ili uchaguliwe bila mikwala yoyote inabidi uwe na vigezo kadhaa. moja pass 4 za olevel na diploma inayotambuliwa na NACTE au equivalent yenye gpa kuanzia 2.7. Achilia mbali kwenye course specific kama ifm ud vyuo vya afya na engineering vimeweka vigezo beyond minimum so swali likaja nilisoma guidebook kuangali requirement ya program? kama no then subiri favor za NACTE na vyuo pale vitakapo kuwa vinajaza nafasi ndio wale wasio kuwa na hivyo vigezo tajwa wataingia. au wakwambie sasa huna vigezo?
2. Wale ambao wametimiza kila kitu na wanauhakika na hilo mambo yetu yanashughulikiwa kwa sababu labda sikuchagua vyuo vinayotaka diploma yangu yaani niliingia chaka so kunauwezekano wa kupata nafasi lkn wanaendelea kuconfirm na vyuo huasika vinikubali.
3. wale walio eligible wameoneshwa na kupewa option ya kichagua vingine na majibu lini ni kila ikifika saa sita usiku watakuwa wanatoa kwa wote waliochange siku hiyo.
4. Kama diploma yako siyo inayotambulika na nacte kuna mlolongo mrefu wa kuitambulisha fikiri hata ud diploma zao ni magumashi hazijasajiliwa.
5. Wakasema kama mnaistist tunataka majibu yetu mtapewa kama yalivyo ina maana umekosa uko tayari kuyapokea au kuvuta subira siku mbili tatu upate hicho chuo
asanteni