Wale wa "No Fap" mliishia wapi..?

Wale wa "No Fap" mliishia wapi..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Kwa wasioelewa maana ya no fap ni kukaa kwa muda fulani ambao wewe utajipangia bila kufanya tendo la ndoa ama namna yoyote ile yakukufanya utoe mbegu!.

Sasa humu jukwaani watu walianzisha uzi wa no fap na wakaanza kuhesabiana!, ulianza kwa spidi lkn cha ajabu watu wamejilamba naona!, zoezi limeingia dosari wenye kujibinya wamejibinya na wenye kujidofya wamejidofya!.
Sio mwenye uzi ama waalikwa wote wamekimbia!, Hakuna tena anaetaka kutunza vimbegu vyake!, wamejilamba vizazi..

Wengine wakadanganyana ati ukikaa muda mrefu unajitakatisha, nakuondoa mikosi nakuvuta hela!, jiangalieni mtaivuta jela ule mchezo ni wa hatari unaweza ukabaka hata mbu!.

Wakuu acheni michezo ya ajabu!.
 
Bado ratiba inaendelea. Hilo siyo zoezi la siku kadhaa ni muendelezo wa kila inapoitwa leo,faida ni nyingi sana.
 
Kwa wasioelewa maana ya no fap ni kukaa kwa muda fulani ambao wewe utajipangia bila kufanya tendo la ndoa ama namna yoyote ile yakukufanya utoe mbegu!.

Sasa humu jukwaani watu walianzisha uzi wa no fap na wakaanza kuhesabiana!, ulianza kwa spidi lkn cha ajabu watu wamejilamba naona!, zoezi limeingia dosari wenye kujibinya wamejibinya na wenye kujidofya wamejidofya!.
Sio mwenye uzi ama waalikwa wote wamekimbia!, Hakuna tena anaetaka kutunza vimbegu vyake!, wamejilamba vizazi..

Wengine wakadanganyana ati ukikaa muda mrefu unajitakatisha, nakuondoa mikosi nakuvuta hela!, jiangalieni mtaivuta jela ule mchezo ni wa hatari unaweza ukabaka hata mbu!.

Wakuu acheni michezo ya ajabu!.
Hehehe
 
Tupo usitotue kwenye reli , sasa tunajiandaa na ndoa
 
Bado ratiba inaendelea. Hilo siyo zoezi la siku kadhaa ni muendelezo wa kila inapoitwa leo,faida ni nyingi sana.
hilo chezo halina hiyana muda wowote mtu anajilamba!
 
Kwa wasioelewa maana ya no fap ni kukaa kwa muda fulani ambao wewe utajipangia bila kufanya tendo la ndoa ama namna yoyote ile yakukufanya utoe mbegu!.

Sasa humu jukwaani watu walianzisha uzi wa no fap na wakaanza kuhesabiana!, ulianza kwa spidi lkn cha ajabu watu wamejilamba naona!, zoezi limeingia dosari wenye kujibinya wamejibinya na wenye kujidofya wamejidofya!.
Sio mwenye uzi ama waalikwa wote wamekimbia!, Hakuna tena anaetaka kutunza vimbegu vyake!, wamejilamba vizazi..

Wengine wakadanganyana ati ukikaa muda mrefu unajitakatisha, nakuondoa mikosi nakuvuta hela!, jiangalieni mtaivuta jela ule mchezo ni wa hatari unaweza ukabaka hata mbu!.

Wakuu acheni michezo ya ajabu!.
Ngoja tuone uwongo Leo mm binafsi hakuuuu sipo
 
Kwa wasioelewa maana ya no fap ni kukaa kwa muda fulani ambao wewe utajipangia bila kufanya tendo la ndoa ama namna yoyote ile yakukufanya utoe mbegu!.

Sasa humu jukwaani watu walianzisha uzi wa no fap na wakaanza kuhesabiana!, ulianza kwa spidi lkn cha ajabu watu wamejilamba naona!, zoezi limeingia dosari wenye kujibinya wamejibinya na wenye kujidofya wamejidofya!.
Sio mwenye uzi ama waalikwa wote wamekimbia!, Hakuna tena anaetaka kutunza vimbegu vyake!, wamejilamba vizazi..

Wengine wakadanganyana ati ukikaa muda mrefu unajitakatisha, nakuondoa mikosi nakuvuta hela!, jiangalieni mtaivuta jela ule mchezo ni wa hatari unaweza ukabaka hata mbu!.

Wakuu acheni michezo ya ajabu!.
Nyeto haijawahi kumwacha mtu salama😂😂😂
 
Kitu ambacho siwez jibana nacho ni hicho,hyo ndo starehe yang ya kwanza maana toka december nimeacha pombe
 
Back
Top Bottom