Wale wa Number E kitu tayari kipo mjini

Ivan Breaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2020
Posts
1,379
Reaction score
5,499
Wale wenzangu na mimi tuliokuwa tukisubiri kwa hamu hatimaye muda umefika sasa [emoji4]

 
Aya sasa mnunue mandinga wazee na mkihitaji spare parts msisite kuniona.
 
Kijana una mihemko.. hiyo number toka mwaka juzi unapost leo.. kwamba ni namba. Unasema au unatania. Yaani uko serious?
 
Number E Imetuchelewesha Sana Maendeleo
 
Mmmmh ikitoka E inafata ipi??...[emoji849][emoji849][emoji849] naisubir
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…