ketone
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 509
- 655
Hii shule niliipenda sana nilisoma pale maiaka miwili pale ..nilienjoy kusoma advance mahali pale kwani shule hii ilikuwa na Uhuru wa kutosha..Wengi tulikuwa tunatoroka weekend kucheki mpira pale chuo cha ushirika na hata wengine kwenda kuzamia kwenye sherehe za harusi pale YMCA...
Mabweni tuliishi Mawenzi..kibo...shengena...Sitomsahau headmaster aliyekuwa msomi na mwenye madaha Mr Sanga..baadae Mr angalo..
Darasani physics miaka ile tulipigiwa na msami...mzee huyu alikuwa hacheki na akikupiga fimbo moja ni sawa na umechapwa fimbo tano na mwalimu mwingine.
Chemistry alipiga yule mama nani nimemsahau jina ila vijana walimbatiza quantum..
Mathematics alikuepo Mr kinunda mzee wa shengena..
Biology alikuwepo mzee wa pombe mzee palangyo...
Kipindi hiki watu walilkuwa wanapiga msuli pale darning hall masaa 24 ..
Kama wewe umepitia hapa eleza unachokikumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabweni tuliishi Mawenzi..kibo...shengena...Sitomsahau headmaster aliyekuwa msomi na mwenye madaha Mr Sanga..baadae Mr angalo..
Darasani physics miaka ile tulipigiwa na msami...mzee huyu alikuwa hacheki na akikupiga fimbo moja ni sawa na umechapwa fimbo tano na mwalimu mwingine.
Chemistry alipiga yule mama nani nimemsahau jina ila vijana walimbatiza quantum..
Mathematics alikuepo Mr kinunda mzee wa shengena..
Biology alikuwepo mzee wa pombe mzee palangyo...
Kipindi hiki watu walilkuwa wanapiga msuli pale darning hall masaa 24 ..
Kama wewe umepitia hapa eleza unachokikumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app