miss username Member Joined Mar 30, 2013 Posts 78 Reaction score 28 May 7, 2013 #1 jaman hebu nijuzeni kuhusu bum linatoka lini? jana tulitangaziwa kuwa leo mchana tungewekewa but till now nothing nani mwenye update ya uhakika? wengine tuna cku tatu tunashindia chai tu
jaman hebu nijuzeni kuhusu bum linatoka lini? jana tulitangaziwa kuwa leo mchana tungewekewa but till now nothing nani mwenye update ya uhakika? wengine tuna cku tatu tunashindia chai tu
Isike Moses JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 2,789 Reaction score 4,245 May 7, 2013 #2 Pesa zoooooooooooooooooote zimeelekezwa katika uchunguzi wa mlipuko wa bomu Arusha....
miss username Member Joined Mar 30, 2013 Posts 78 Reaction score 28 May 7, 2013 Thread starter #3 hali mbaya jaman watuonee huruma coz tumekopa mpaka haukopesheki tena CANIMITO said: Pesa zoooooooooooooooooote zimeelekezwa katika uchunguzi wa mlipuko wa bomu Arusha.... Click to expand...
hali mbaya jaman watuonee huruma coz tumekopa mpaka haukopesheki tena CANIMITO said: Pesa zoooooooooooooooooote zimeelekezwa katika uchunguzi wa mlipuko wa bomu Arusha.... Click to expand...
MBWA WA MANZESE JF-Expert Member Joined Mar 14, 2013 Posts 1,621 Reaction score 614 May 7, 2013 #4 late today or early tommorow
K kajaji JF-Expert Member Joined Jan 7, 2013 Posts 200 Reaction score 21 May 7, 2013 #5 poleni sana hata sisi tumepita huko lakini mkipata tumieni vizuri