bayer marande
New Member
- Aug 22, 2014
- 2
- 0
Am sorry..
Nilikua wrong kidogo DDC=EED=3PNT 14
mara ya kwanza unapewa 650...weka 300 kando likitoka la pili chukua 100...plus na ile ya mwanzo unakua na 450...kanunue mashine
mkuu nichekie kijana wangu huyu s0631/0140/2011
tatizo jina langu halipo kabisa
Daaaah mbona sioni jina langu au ndo vile tena
300+100=400 sasa wewe hiyo 450 umeitoa wapi au hesabu ndo vile tena then kama atakuwa na hyo 400 mashine gani atanunua labda Dell latitude used computer anaweza kupata kwa 350 yenye Win XP
Serikali haina hela.vyuo vichanga kama udom tunaomba uvumilivu wenu mpaka vyuo vikubwakubwa vipate kwanza
sasa unafiki hawezi pata hiyo delk
Wewe utakuwa una matatizo ya akili tu sio bure
Suala sio kupata mashine suala n kupata mashine nzuri itayomsaidia maisha yote ya shule ila kama anataka pc kwa ajili ya kuangalizia movie hata akiwa na laki 250 anapata
tena kwa taarifa yaki pc ya kusomea hata Fujitsu ya mchina yenye hard disc 120G inafaaa maana zaidi vijana wanajaza movie hiyo disc ni enough for reading materials sana. hayo ma PC yenye hard700g ni kwa ajiri ya movie