Wale wahamasishaji wa Forex kupitia Twitter wameshaunguza account ya mtu huko

Hapa ndipo mnapo onekana matapeli sasa!!... Wakati watu wengi Wana lalama kupigwa wewe Una sema Una fundisha na uliowafundisha wanafanikiwa kama Jeff Mwenzako ana wapiga wenzake huko!!..Alafu ana account fake kibao kwenye mitandao [emoji23][emoji23]!!...Jeff wakati flani kuna Tapeli Mwenzake alitumia account kujifanya kapiga fedha ndefu alafu Jeff akaingia kingi kuomba fedha za maji!!..Tukaletewa mkeka wote na ukweli ni kwamba kwenye hii biashara yenu kukosa ni 95%..Jeff amepiga block watu wote tuliopata mkeka wake wa kuomba fedha za maji na kujifanya ana cancer [emoji23][emoji23]
 
Jeff huyu Shark mwenye Jaguar ya milioni 420?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…