Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
17,202
Reaction score
28,732
salaam,
hii ni kwa wale wote waishio mikoa ya kusin kusin....kwa kina kamwene,mwagona,ughonile,mwakata,mapembelo.....nk.tufahamiane jaman.Tafadhali.
Iz mambo za kuwa na mpenz from mbeya to kigoma sijui bukoba au Mara....umepatwa na mihamu yote inaishia njian kwa uchovu wa safari na ukifika lazima utoe penz japo umechoka coz mwenzio nae alikuwa anakusubiri kwa hamu.
Umbali nao ni janga haswa kwenye suala la ndoa...ifikapo harusi bas unajikuta huna ndugu walokusindikiza zaidzaid utawaona wazaz wako,tatizo nini utasikia gharama ya nauli na umbali.

Tafadhali hili ni muhimu sana jaman......hapa hakuna kuogopana ii no sehemu ya maisha yetu. u are welcome
 
huku si kwa wale wanaume ambao hawatairiwagi wana magomvi?
 
Dah....Ila mbeya dada zenu wote mabongebonge tu...inaonekana wanapenda kulakula sana..hivi hakuna gym huko? [emoji13] [emoji13]
na sura yako ya avatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…