Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

upo WAP mkuu,mi nipo kiwira-tandale, njoo tufahamiane
hapo kiwira ndio maskani mkuu karibu na shule ya msingi goje, ukitokea kituo cha polisi ile njia ya kwenda ilongoboto mbele kidogo ya makaburi ya waislamu, ila kwa sasa nipo mbalizi ndio nafanyia shughuli zangu huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…