wale wajasiriamali wa ukweli soma hapa..

wale wajasiriamali wa ukweli soma hapa..

Buhaya boy

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
88
Reaction score
16
Habar wapendwa,
Wajasiliamali wa kahama na maeneo jiran nawajulisha nipo kahama na vikoi vya pekee kabisa kahama nzima wamesaluti hakuna duka vilipo.So kama upo kahama ucpitwe vimebaki vichache sana kabla cjarudi Dsm.Wameniomba nibaki kahama ila mzigo ndo hvo unaisha ila nitarudi ''soon as possible'' .Plz piga 0717539573 upate mzigo wa kipekee kanda ya ziwa nzima.
 
Mhh nijuavyo mimi vikoi huvaliwa na kina babu wakiwa wamepumzika baada ya shughuli za mchana kutwa sasa huku tena sijui vimefata nini? lakini mkama ni tangazo basi Mod wapeleke mahala pake
 
Kama ulivyoandika,watu wa kahama na maeneo ya jirani hii inawahusu sana!
 
Mi ukirudi naomba unifundishe namna ya kuvitengeneza. Maana nimegundua kijijini kwangu kuna fursa kuliko huku mjini nakozeeka bure.
 
Vikoi ndo nini vina kazi gani?

mkuu asiyejua maana usimwambie maana, wajuao wameshamaliza ndo nimerud dsm nina oda ya kwenda Rwanda.Ila kwa msaada vikoi ninavyosema ni vile vitenge vya akina mama vilivyotengenezwa kwa batik.Najua bado hutaelewa mwombe Mungu atakujalia zaid ufaham kwani ''ur lacking that''
 
Mhh nijuavyo mimi vikoi huvaliwa na kina babu wakiwa wamepumzika baada ya shughuli za mchana kutwa sasa huku tena sijui vimefata nini? lakini mkama ni tangazo basi Mod wapeleke mahala pake

lack of edu...but not u b'se of ur p'rents thinking livestocks than their son.
 
Mi ukirudi naomba unifundishe namna ya kuvitengeneza. Maana nimegundua kijijini kwangu kuna fursa kuliko huku mjini nakozeeka bure.

hakuna pro ila utalipia kidogo kwan vyote utavyojifunzia ni mali yako mwenyewe..
 
Back
Top Bottom