Wale waliozungusha uzio nyumba zao na hawana eneo la kuchimba shimo la takataka ,hivi takataka wanatupa wapi

Wale waliozungusha uzio nyumba zao na hawana eneo la kuchimba shimo la takataka ,hivi takataka wanatupa wapi

kimbendengu

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
6,716
Reaction score
12,116
Najaribu kujiuliza maeneo ambayo watu wamemaliza kujenga viwanja vyao lakini pia wamejenga fences au uzio je wakifagia ,wakati mwingine wamekula matunda wanahitaji kutupa wanambinu gani mbadala wa kuziondoa takataka?
 
Najaribu kujiuliza maeneo ambayo watu wamemaliza kujenga viwanja vyao lakini pia wamejenga fences au uzio je wakifagia ,wakati mwingine wamekula matunda wanahitaji kutupa wanambinu gani mbadala wa kuziondoa takataka?
Kuna magari yanapita mara moja kwa wiki wanakusanya takataka unawalipa kwa mwezi. Kwetu 4000/- tu.
 
Najaribu kujiuliza maeneo ambayo watu wamemaliza kujenga viwanja vyao lakini pia wamejenga fences au uzio je wakifagia ,wakati mwingine wamekula matunda wanahitaji kutupa wanambinu gani mbadala wa kuziondoa takataka?
Upo mkoa gani mkuu, uku kwetu gari za taka zinakuja adi mlangoni mara2 kwa wiki huna haja ya shimo la taka, dustbeen inatosha.


katupe takataka jalalani.....kihenga kweli ndugu yangu
 
Ivi kuna watu bado wanatupa takataka jalalani mbona kizamani sana.
ardhi ilivyokua gharama unaweza kuigeuza jalala kweli
 
Kuna mitaa huduma ya magari ya taja haifiki,mfano umejenga nje ya mji,,muhimu kuna watu wengi hutafuta hizo tenda za kuchukua taka kwenda kukumwagia kwa malipo
 
Najaribu kujiuliza maeneo ambayo watu wamemaliza kujenga viwanja vyao lakini pia wamejenga fences au uzio je wakifagia ,wakati mwingine wamekula matunda wanahitaji kutupa wanambinu gani mbadala wa kuziondoa takataka?
Dah,mzee hivi bado mnajalala la kuweka takataka dunia ya leo? Kwanza ni kukaribisha magonjwa, uchafu unawekwa kwenye ndoo maalum kwa zile take ngumu Tena ndoo zinazofunga kwa juu au mifuko ambayo haitoi ruhusa ya kisambaza harufu, gari za taka zinapita kila wiki kukusanya,kwanza ardhi yenyewe ilivyo adimu hapohapo upunguze kwa ajili ya shimo la taka.
 
Unazungumzia ukiwa upande gan wa nchi?daslam hatunaga majalala kila mtu na lakwake...tunategemea la pugu kinyamwezi
 
Siku hizi kuna magari ya BUDEGE yanapita kila mtaa na kusoma TAKA kwa malipo ya mwezi...hata masha alikuwa na kampuni ya kuzoa taka ikafa KIBUDU.
 
Najaribu kujiuliza maeneo ambayo watu wamemaliza kujenga viwanja vyao lakini pia wamejenga fences au uzio je wakifagia ,wakati mwingine wamekula matunda wanahitaji kutupa wanambinu gani mbadala wa kuziondoa takataka?
karibu mjini aisee
 
Back
Top Bottom