A Adonaye is God Member Joined Dec 21, 2015 Posts 9 Reaction score 1 Dec 22, 2015 #1 mliotoka hapo tukumbushane habar zakina ticha Ngalubutu,makene,gerald,kina khaima kina Tango mpishi soloka embu tukumbushane
mliotoka hapo tukumbushane habar zakina ticha Ngalubutu,makene,gerald,kina khaima kina Tango mpishi soloka embu tukumbushane
A Adonaye is God Member Joined Dec 21, 2015 Posts 9 Reaction score 1 Dec 22, 2015 Thread starter #2 nakumbuka siku jiko la shule lilivyo anguka alafu brother soloka ,alikuwa anakata kitungu alitoka speed na sime jiko lisimwangukie
nakumbuka siku jiko la shule lilivyo anguka alafu brother soloka ,alikuwa anakata kitungu alitoka speed na sime jiko lisimwangukie
Remark JF-Expert Member Joined Aug 15, 2015 Posts 510 Reaction score 989 Dec 22, 2015 #3 Aisee... hii shule ipo jiran kabisaa na ninapokaa japo sio mkaz sana wa huku, matatizo yake ni yale yale tu ka shule zingine za kata japo ina bweni
Aisee... hii shule ipo jiran kabisaa na ninapokaa japo sio mkaz sana wa huku, matatizo yake ni yale yale tu ka shule zingine za kata japo ina bweni