Wale Wamasai walio Hamishwa Ngorongoro ilikuwa ni trela, Mwarabu anaitaka sana Ngorongoro

Wale Wamasai walio Hamishwa Ngorongoro ilikuwa ni trela, Mwarabu anaitaka sana Ngorongoro

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Uhamisho wa Wamasai tarafa ya Ngorongoro ilikuwa ni trela kwa sababu Mwarabua anaitaka sana ikibidi Loliondo nzima kwa ajili ya Utalii wa uwindaji na utalii wa Picha.

Kuna hitajika Wamasai 300, 000+ wahame Ngorongoro kupisga utalii wa Picha na uwindaji.

Kumbuka walio hamishiwa Handeni ni kutoka Tarafa ya Ngorongoro sasa wanao takiwa kuhama ni wale walioko tarafa zingine hasa jirani na Mwarabu kule Loliondo.

Kuna uwezekano Ngorongoro ikaja kufutwa kama wilaya kwa awamu hii na kubakia kama hifadhi na Mapoli ya akiba ambapo huko ndiko Mwaeabu anahitaji zaidi kwa ajili ya utalii wa Picha na utaliu wa Uwandaji pia.
 
Hawa viongozi tulionao wanaweza kuuza hata mkoa mzima na wasione ajabu, walishatuona mabwege.
 
Kiongozi wetu Hana uchungu na Nchi yetu.

Sa100 must go!!!
 
Redundant part imefungwa kwenye bus la masafa ya mikoani.
 
Mtajuana wenyewe na liinchi lenu

Ova
 
Back
Top Bottom