tajiriboya
Member
- Oct 31, 2019
- 15
- 37
Habarini wakubwa na wale wadogo.
Binafsi baada ya maisha kuwa magumu na kusubiria ajira baada ya muda mrefu bila mafanikio, nimeona nianzishe bishara ya M-Pesa na Tigo Pesa Wilayani Kahama. Niliambiwa na dada yangu kuwa biashara hii inalipa ukiwa makini maana kuna matapeli na wezi pia.
Hii ni siku ya 5 naona wateja wameanza kuzoea, nimeongeza na vocha ili kuongeza huduma. Wale mliokwisha zoea biashara mbalimbali mnaweza kutoa mchango wa mawazo juu ya biashara ambayo mlipitia /mnapitia ili wale ambao walimaliza chuo na bado wako nyumbani wapate mwanga wapi pa kutokea.
Mungu atakuwa na wewe nyakati zote za maamuzi juu ya mustakabali wa maisha yako.
Binafsi baada ya maisha kuwa magumu na kusubiria ajira baada ya muda mrefu bila mafanikio, nimeona nianzishe bishara ya M-Pesa na Tigo Pesa Wilayani Kahama. Niliambiwa na dada yangu kuwa biashara hii inalipa ukiwa makini maana kuna matapeli na wezi pia.
Hii ni siku ya 5 naona wateja wameanza kuzoea, nimeongeza na vocha ili kuongeza huduma. Wale mliokwisha zoea biashara mbalimbali mnaweza kutoa mchango wa mawazo juu ya biashara ambayo mlipitia /mnapitia ili wale ambao walimaliza chuo na bado wako nyumbani wapate mwanga wapi pa kutokea.
Mungu atakuwa na wewe nyakati zote za maamuzi juu ya mustakabali wa maisha yako.