Kwa pc au simu?Kuna app ya blue light filter inachuja mwanga wa blue ambao unaumiza macho hasa wakati wa usiku.
Yaan kuna siku nlicheza sana game baada ya hapo nliisi macho kuum, na baadaye nikajiskia vibaya nikaenda kulala kama masaa mawili , kuamka nikawa flesh,,Kuna app ya blue light filter inachuja mwanga wa blue ambao unaumiza macho hasa wakati wa usiku.
Yaan kuna siku nlicheza sana game baada ya hapo nliisi macho kuum, na baadaye nikajiskia vibaya nikaenda kulala kama masaa mawili , kuamka nikawa flesh,,
Tokea kipindi hicho sijaludia tena kucheza magame,, bora ya simu ,,ila hayo ya pc sina ham nayo.