Wale wanaosoma au waliosoma Kolandoto na mvumi college of health science

Sheko

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
280
Reaction score
26
wakuu naombeni mnipe info zaidi kuhusu ubora wa elimu inayotolewa, mazingira ya kusoma na ada zao zikoje mi nataka nipige dip ya clinical medicine Kwa matokeo yangu bios c chem c na phy d muda wa maombi ukifika nikatume!
 
wakuu naombeni mnipe info zaidi kuhusu ubora wa elimu inayotolewa, mazingira ya kusoma na ada zao zikoje mi nataka nipige dip ya clinical medicine Kwa matokeo yangu bios c chem c na phy d muda wa maombi ukifika nikatume!

unajua ukitaka ufanikiwe ktk wizara ya afya angalia chuo chenye usajili wa kudumu
 
Nakijua mvumi kwa sababu nilishafundisha hapo. Lakini nakushauri ungetafuta chuo cha serikali
 
Vyuo vya serikali utapata experience nzuri zaidi na gharama ni nafuu zaidi. Kwa alama ulizozipata nina uhakika hautakosa chuo. Mathematics na English umepataje?
 
Vyuo vya serikali utapata experience nzuri zaidi na gharama ni nafuu zaidi. Kwa alama ulizozipata nina uhakika hautakosa chuo. Mathematics na English umepataje?
Eng d ila math ndo nimehalibu nina f.ila nasikia mvumi wako vizuri sana nasikia wana hospitali yao ya wiraya na wanafuzi wanaruhusiwa kwenda hospitalini kutoa huduma.
 
Kama una f ya mathematics then itakuwa vigumu kupata nafasi vyuo vya serikali, mvumi ni pazuri kama utaimudu ada yake
 
kolandoto kipo nje kidogo ya mji wa shinyanga. Nauli ni sh 1000 toka shinyanga mjini. Ni chuo kizuri sana na wanafunzi wao huwa wanaingia wodini pia kutoa tiba kwa wagonjwa mbalimbali kwani chuo hicho pia kina hospital yake. Karibu sana kolandoto.
 
kolandoto kipo nje kidogo ya mji wa shinyanga. Nauli ni sh 1000 toka shinyanga mjini. Ni chuo kizuri sana na wanafunzi wao huwa wanaingia wodini pia kutoa tiba kwa wagonjwa mbalimbali kwani chuo hicho pia kina hospital yake. Karibu sana kolandoto.

Una soma hapo mkuu
 
unaenda kusoma diploma kabla ya certficate kwa ninavojua mimi diploma anasoma aliyehitimu kidato cha 6
 
unaenda kusoma diploma kabla ya certficate kwa ninavojua mimi diploma anasoma aliyehitimu kidato cha 6
Kaangalie vigezo wanavyotaka wizara ya afya alafu utajua nini watu wanafanya.
 
Poa mkuu nimekusoma vp hivyo vyuo unavijua mkuu!

Mvumi & kolandoto vyote hivi vina usajili wa kudumu xo we jipange andaa ada then ukapige pindi mm nimehitimu 2013 nataka nikachukue certificate ya maabara nina D sita kat ya hizo ya engl ipo kemia na bioz xo kama vp tutakutana mvumi paleee COTC wewe chukua clinical officer (uganga) then mm nachukua maabara
 
poa dogo mungu akipenda utanikuta pale cots vp unaishi dodoma kalibu na mvumi
 
poa dogo mungu akipenda utanikuta pale cots vp unaishi dodoma kalibu na mvumi

Yap! naishi dom hapa hapa ila nipo town kisasa area chuo cha mvumi kipo nje kidogo ya mji ukiwa mjini hapa kwenda mvumi nauli sh.3000
 
Yap! naishi dom hapa hapa ila nipo town kisasa area chuo cha mvumi kipo nje kidogo ya mji ukiwa mjini hapa kwenda mvumi nauli sh.3000

Nasikia ni kikubwa sana alafu wanahospitali yao kubwa eti kweli! Na vp ada sh kwa diploma kama unafahamu
 
Nasikia ni kikubwa sana alafu wanahospitali yao kubwa eti kweli! Na vp ada sh kwa diploma kama unafahamu

Mvumi mission hospital ni hospitali ya taifa ktk specialization ya upasuaji wa macho kuna wataalam waliobobea katika fani hii pia hospital ya mvumi ina colleges tatu midwife & nursing,COTC ,na medical laboratory assistant ada kwa diploma ya CO sijajua itakuwa bei gan bt nahic itakuwa kuanzia 2.5 to 3 million per year am not sure kwa hilo
 
Vyuo vya serikali utapata experience nzuri zaidi na gharama ni nafuu zaidi. Kwa alama ulizozipata nina uhakika hautakosa chuo. Mathematics na English umepataje?

Ungetaja baadhi ya vyuo vya serikali na upatikanaji wa form au taratibu za maombi zikoje.Tunatanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…