Wale wanaume waliotutolea kifunga uchumba waliushia wapi?

tulikuwa kwenye mchakato wa kutafuta mke mwema. ukijiona uko pending jijue we uliumbwa uje kuwa mchepuko wa mtu.
 
Tulitolewa kifunga uchumba na wanaume wenye suti waliokuja na ndege yao. Tuliambiwa kuna uwezekano wa kila mmoja wetu kusukuma Noah baada ya ndoa.

Mimi sili niniogopa kunenepa gauni la harusi lishindwe kuingia. Kama ndoa hakuna tujuzwe.
Hahahahaha...πŸ˜€πŸ™‚πŸ˜‰πŸ™„
 
Kuna vitu havihitaji mihemuko... Yule hawezi kuwa smart kuliko wenzie.. Miaka yote yupo na anaunga mkono hoja halafu leo anashangaa tatizo liko wapi, sasa nasema hivi hakuna cha kishika uchumba wala mkaja! Sisi ndio tutawalipa wale jamaa tena pesa nyingi sana.

"kama hujui kufa, nenda nenda kachungulie kaburi(imetoweka)... Amani duniani imetoweka, amani Afrika imetoweka, Amani Tanzania imetoweka leeeoo kumbe Tanzania... Tanzania yetu eenhhh imejichimbiaaa"
 
Tulitolewa kifunga uchumba na wanaume wenye suti waliokuja na ndege yao. Tuliambiwa kuna uwezekano wa kila mmoja wetu kusukuma Noah baada ya ndoa.

Mimi sili niniogopa kunenepa gauni la harusi lishindwe kuingia. Kama ndoa hakuna tujuzwe.
Usijali tafuta mchumba mwingine.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…