Wale wanywaji WA vikali

Wale wanywaji WA vikali

Vito Corleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
2,418
Reaction score
5,257
Leo ni mara ya nne nakunywa smart gin naona kama nakunywa maji harufu yake ipo Ila stimu zinachelewa.

Nakunywa kitu nahisi kabisa kimechanganywa na H20.

Sasa kutokana na Hiyo suspicion Leo kabla sijafungua kisungura ikabidi nikikague.
Kwanza kufungua kitu sikutumia nguvu nahisi ni Ile stika mchongo ya tra ndio iliyoshikilia,then juu ya chupa nakuta fulu mvuke nkasema Gini inatoa mvuke kweli?
Hapa nimelewa nusu ninawenge na hasira sijui kwann wafanya biashara ni waroho hivi.
Yani mtu anakata kikali nusu anaweka maji nusu jamani tumefika huku?
 
Zinafyatuliwa copy alichosema young dee n kweli
FB_IMG_17043434956735753.jpg
 
Leo ni mara ya nne nakunywa smart gin naona kama nakunywa maji harufu yake ipo Ila stimu zinachelewa.

Nakunywa kitu nahisi kabisa kimechanganywa na H20.

Sasa kutokana na Hiyo suspicion Leo kabla sijafungua kisungura ikabidi nikikague.
Kwanza kufungua kitu sikutumia nguvu nahisi ni Ile stika mchongo ya tra ndio iliyoshikilia,then juu ya chupa nakuta fulu mvuke nkasema Gini inatoa mvuke kweli?
Hapa nimelewa nusu ninawenge na hasira sijui kwann wafanya biashara ni waroho hivi.
Yani mtu anakata kikali nusu anaweka maji nusu jamani tumefika huku?
Kaka tutafute pesa tu rafiki yangu , kwa hizo asidi sio muda utakuwa na mashavu makubwa na kamwili kadogo kama Karabaka wa simba

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom