Mmh! Ya ngoswe mwachie ngoswe. Tupia picha ya kinywaji mremboo.Wapi na liniii?
Mmh! Ya ngoswe mwachie ngoswe. Tupia picha ya kinywaji mremboo.
Cheers🥂View attachment 2536840mke akiona nipo na hii kitu
Hiyo nayo ni liquor mkuu!..share pic🥂Uzuri mimi nimehamia kwenye gongo...😋
Subiri wateleta uzi soon mkuu!😅Sie wapepsi tusubiri uzi wetu
Hii kitu safi sana mkuu!
Cheers mkuu🥂
Kanaleta usingizi haka
Hutaki shida umetandika kabisa mkeka wako nahisi🥰🥰🥰
Scotch whisky ni balaa mkuu!Tripple blended Scottish Whiskey..
Sema nikipiga hii kitu na last longer sana on bed kuliko kawaida.
Huu Uzi ndio wenyewe Sasa🥰🥰🥰View attachment 2536811
Chat na picha ya kinywaji🥂
Umeua kabisa mkuu!..cheers🥂