Wale wapenzi wa timu ya Taifa ya Uganda(Uganda Cranes) Tukutane hapa

Wale wapenzi wa timu ya Taifa ya Uganda(Uganda Cranes) Tukutane hapa

mganda og

Senior Member
Joined
Feb 23, 2023
Posts
134
Reaction score
445
Uzi huu ni mahususi kwa waganda wenzangu waliopo humu jamii forum na pia kwa mashabiki na watu wote wenye mapenzi mema na Uganda.

Kesho tunacheza na kibonde wetu Tanzania( Taifa stars) huko nchini Misri.
Mchezo huu utaanza majira ya saa 11 za jioni na utapigwa katika dimba la Suez Canal lililopo jijini Ismailia.

Weka utabiri wako hapo chini, bila kusahau kuwatakia kheli za kutosha waganda kwani waafrika wote ni ndugu na Afrika ni moja.
[emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji736][emoji736][emoji736]
 
Uzi huu ni mahususi kwa waganda wenzangu waliopo humu jamii forum na pia kwa mashabiki na watu wote wenye mapenzi mema na Uganda.

Kesho tunacheza na kibonde wetu Tanzania( Taifa stars) huko nchini Misri.
Mchezo huu utaanza majira ya saa 11 za jioni na utapigwa katika dimba la Suez Canal lililopo jijini Ismailia.

Weka utabiri wako hapo chini, bila kusahau kuwatakia kheli za kutosha waganda kwani waafrika wote ni ndugu na Afrika ni moja.
[emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji736][emoji736][emoji736]

Mtanzania mwenye Chuki Binafsi
 
Uganda ndio nchi pekee imepinga ushoga hadharani na kutunga sheria Kali dhidi ya huu ushetani.
Allah awajaalie mafanikio mema Uganda Cranes.
Viva[emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254]
 
Mkuu vipi mbona unanihusianisha na hao pimbi? Mwarabu toka lini akafananishwa na hao vibonde[emoji23][emoji23]?
Nawakumbusha tu watu tarehe 1 April tutakutana jijini Casablanca, tutafanya mauaji ya sharubela kwa hao[emoji250]‍[emoji834] wanaojiita[emoji881]
Habari hii imfikie kubwa la mikia wa kike Kalpana
 
Uzi huu ni mahususi kwa waganda wenzangu waliopo humu jamii forum na pia kwa mashabiki na watu wote wenye mapenzi mema na Uganda.

Kesho tunacheza na kibonde wetu Tanzania( Taifa stars) huko nchini Misri.
Mchezo huu utaanza majira ya saa 11 za jioni na utapigwa katika dimba la Suez Canal lililopo jijini Ismailia.

Weka utabiri wako hapo chini, bila kusahau kuwatakia kheli za kutosha waganda kwani waafrika wote ni ndugu na Afrika ni moja.
[emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji1254][emoji736][emoji736][emoji736]
Kutokana na kukosea kubashiri mechi zilizopita, kama Vipers vs Simba, Simba vs Viper pia &Simba vs Horoya, naona unaenda kukosea tena .
NB: Taifa stars wanaenda kushida dhidi ya Uganda.
 
Back
Top Bottom