GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea na ukiona namsema au namchukia Mtu basi jua 99.99% ana matatizo na hafai kabisa. Asante sana Uongozi wa Simba SC kwa kuachana na Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona na asanteni kwa kupanga Kumleta ' Mwanangu ' mwenyewe na Kiungo wa Ukabaji ambaye mpaka leo bado sijaona aliyemfikia Suleman Abdalla Matola a.k.a Mzambia a.k.a Veron.
Kuna ' Wapuuzi ' wachache wa Simba SC siku moja nilipoanzisha Uzi wa Kumsema na Kumnanga Kocha huyu Mburundi Djuma mlikuja Kwangu ' Kishamba ' na wala hamkunielewa kile ambacho nilikuwa nakisema na sasa yale yale mawazo yangu ndiyo yametimia na ' Mnafiki ' wenu ameshafurushwa. Na kama kuna Wana Simba SC mnajifanya mnapenda sana mnaweza mkaenda nae huko Kwao Burundi ila kwa Simba SC yetu hatumtaki.
Kocha gani kuanzia alipokuwa na Joseph Omog, akaja Pierre Lenchantre na hadi huyu wa sasa Patrick Aussems Yeye Kazi yake ni kuwapiga tu ' Majungu ' na kuwafanyia ' Fitina ' ili waonekane wabaya na hawafai ili tu Yeye akabidhiwe Timu.
Mwambieni Masoud Djuma Irambona kuwa ana ' laana ' ya hao Makocha Omog na Lenchantre na na nakumbuka kila mara Kocha Lenchantre akihojiwa kuhusu Simba SC huwa anasema hana matatizo na Klabu bali humtupia mno lawama Kocha Msaidizi Masoud Djuma na alimtabiria mwisho mbaya ndani ya Simba SC na ambao hatimaye sasa umetimia.
Nawasilisha.
Kuna ' Wapuuzi ' wachache wa Simba SC siku moja nilipoanzisha Uzi wa Kumsema na Kumnanga Kocha huyu Mburundi Djuma mlikuja Kwangu ' Kishamba ' na wala hamkunielewa kile ambacho nilikuwa nakisema na sasa yale yale mawazo yangu ndiyo yametimia na ' Mnafiki ' wenu ameshafurushwa. Na kama kuna Wana Simba SC mnajifanya mnapenda sana mnaweza mkaenda nae huko Kwao Burundi ila kwa Simba SC yetu hatumtaki.
Kocha gani kuanzia alipokuwa na Joseph Omog, akaja Pierre Lenchantre na hadi huyu wa sasa Patrick Aussems Yeye Kazi yake ni kuwapiga tu ' Majungu ' na kuwafanyia ' Fitina ' ili waonekane wabaya na hawafai ili tu Yeye akabidhiwe Timu.
Mwambieni Masoud Djuma Irambona kuwa ana ' laana ' ya hao Makocha Omog na Lenchantre na na nakumbuka kila mara Kocha Lenchantre akihojiwa kuhusu Simba SC huwa anasema hana matatizo na Klabu bali humtupia mno lawama Kocha Msaidizi Masoud Djuma na alimtabiria mwisho mbaya ndani ya Simba SC na ambao hatimaye sasa umetimia.
Nawasilisha.