Kaplizer
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 720
- 582
Kwa habari ya uhakika tuliyopewa na mmoja kati ya wakurugenzi wa elimu pale wizara ya elimu makao makuu yaliyopo pale Magogoni mkabala na ikulu Dar es salaam.
Ni kwamba wizara haitochukua watu wenye ufaulu wa division four. I mean ametoa ufafanuzi kwamba wenye ufaulu wa kuanzia division 3, 2 na 1 ndio watakaochaguliwa.
Sababu alioitoa ni wingi wa waombaji. Na kutekeleza amri waliyopewa na mkubwa wao.
Ni kwamba wizara haitochukua watu wenye ufaulu wa division four. I mean ametoa ufafanuzi kwamba wenye ufaulu wa kuanzia division 3, 2 na 1 ndio watakaochaguliwa.
Sababu alioitoa ni wingi wa waombaji. Na kutekeleza amri waliyopewa na mkubwa wao.