Wale watalamu wa Kiswahil na fasihi

Wale watalamu wa Kiswahil na fasihi

Dangerm

Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
87
Reaction score
9
naomba mnisaidie ..nini maana ya fasihi ya kiswahili na fasihi ya waswahili?
 
naomba mnisaidie ..nini maana ya fasihi ya kiswahili na fasihi ya waswahili?
fasihi ya kiswahili ni ile kazi ya kifasihi ambayo inaandikwa kwa kiswahili lakini haiegemei zaidi katika kumtaja mswahili pamoja na utamaduni wake kwa ujumla wake lakini fasihi ya waswahili ni ile ambayo inamtaja mswahili kwa kiasi kikubwa pamoja na utamaduni wake.nawasilisha
 
Back
Top Bottom