barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
My bad, the guy that deprogrammed you is dead, which means you are DOOMED to be that imbecile, your comments reflect what's upstairs!Kumbe ni punga
Cc:NshonziWewe una ubongo wa mbu
Wewe ni mbugila wa lumumbaBila chadema watetezi wa mafisadi na waabudu mafisadi wasingekuwapo!
JmkKtk marais watakaokbukwa kwa kifanya transition ya taifa kwenda uchumi wa kati JPM ana nafasi yake kubwa sana!
Umeshakwenda kutega NJEREMBA?Mnaobeza subirini, mimi nishaacha utoto, nina imani na nyinyi mkikua mtaacha ....
Wewe ni $&@%#€£*%# wa ufipa!Wewe ni mbugila wa lumumba
Wewe ni msukule wa lumumba kwani hao unao watukana siwalikuwa viongozi wa taifa la Jamhuri ya muungano wa Tanzania?mandojo +domokaya -lowasa +Sumaye respectively wangeweza hata kununua tairi au zingeishia mifukoni... Fikiri.... Chukua hatua
Watu wa Dar na Mwanza watamkumbuka sana.Kumkumbuka lazima
Ngoja SGR ikamilike,Tazara,Ubungo,Zile Kota za juzi hapo
Tutamuelewa Rais wetu tu
Ni muda utaongea
Msukule gani anaweza kukaa na smartphone hata mamako hanaWewe ni msukule wa lumumba kwani hao unao watukana siwalikuwa viongozi wa taifa la Jamhuri ya muungano wa Tanzania?
chini ya bei hiyoBei ya Boeng 787 Dream Liner imeshuka hadi $90+million, vipi Tanzania inanunua kwa $ Dollar ngapi?
Lugha kali sana hii GTUjue unaongea na mume wa mama yako
Hakuna kitu hapo...Hiyo ilikuwa ni ndege ya kukodi toka kampuni ya Aerovista UAE,ilikuja March 2012 na ikakatisha mkataba August 2012,watu wakapiga pesa then wakakodisha nyingine toka S-Africa.Enzi hizo pesa ilikuwa inapigwa kwa nja ya "Leasing",tena watu wanafanya ile "Wet Lease"...Kwa kweli ATCL kama kutafunwa tu,basi imetafunwa mpaka kumeng'enywaMbona hauja muita sasa mkuu barafu??
I am sorry for thatLugha kali sana hii GT
Aliyebuni logo ya Air Tanzania siyo mtaalam kabisa yaani imekaa tu like any other thing. Bora embed either bendera ya taifa au mlima Kilimanjaro kwenye hicho kiduara mwanzoni. Kwa ilivyokaa haijitangazi kabisaNgoja waje