Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Kuna watu wameumbwa duniani na fani zao, leo tuzungumzie wale wazee wa vitonga.
Mjini kugumu ila ukiwa mzee wa vitonga unaona mji mwepesi maisha yanaendelea. Bali ukiwa kitonga kuna vitu lazima uwe navyo au uvifanye kwa maisha yetu ya kimjini mjini.
1: Kitonga lazima ujue kulenga eneo la tukio na aina ya watu wa kuwadandia. Sio watu wote wa kuwafanyia ukitonga
2: Kitonga lazima uwe unabadilika kutokana na mazingira, watoto wa mjini wanasema uwe na tabia ya kinyonga, usiwe na tabia moja hadi watu wakukariri.
3: Kitonga lazima ujue kucheza na akili za binadamu popote pale unapokuwa.
4: Kitonga lazima uwe na kumbukumbu sababu maisha hubadilika hivyo mbinu nazo za ukitonga lazima ziwe zinabadilika badilika.
5: Muonekano ni muhimu kwa kitonga kila unapokuwa eneo la tukio, uvae kutokana mazingira husika.
6: Kitonga lazima uwe na roho ngumu sababu ukitonga bila roho ngumu fani hii itakushinda.
7: Kitonga hana kambi, popote pale penye utelezi wa mambo unaslide hapo hapo.
8: Kitonga tanguliza mbele maslahi yako kwanza,halafu wengine ndio wafuatie.
9: Kitonga usisahau dunia uwanja wa fujo kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake sasa usikae kinyonge.
10: Kitonga uwe na fani yoyote ile iwe inakulinda dili zikiwa zimekauka.
Watu wanaidharau sana hii fani ya ukitonga ila maborn town tunajua hii ni fani kama fani nyingine na ingebidi iwe inafundishwa vyuoni kama somo la ujasiriamali.
Mjini kugumu ila ukiwa mzee wa vitonga unaona mji mwepesi maisha yanaendelea. Bali ukiwa kitonga kuna vitu lazima uwe navyo au uvifanye kwa maisha yetu ya kimjini mjini.
1: Kitonga lazima ujue kulenga eneo la tukio na aina ya watu wa kuwadandia. Sio watu wote wa kuwafanyia ukitonga
2: Kitonga lazima uwe unabadilika kutokana na mazingira, watoto wa mjini wanasema uwe na tabia ya kinyonga, usiwe na tabia moja hadi watu wakukariri.
3: Kitonga lazima ujue kucheza na akili za binadamu popote pale unapokuwa.
4: Kitonga lazima uwe na kumbukumbu sababu maisha hubadilika hivyo mbinu nazo za ukitonga lazima ziwe zinabadilika badilika.
5: Muonekano ni muhimu kwa kitonga kila unapokuwa eneo la tukio, uvae kutokana mazingira husika.
6: Kitonga lazima uwe na roho ngumu sababu ukitonga bila roho ngumu fani hii itakushinda.
7: Kitonga hana kambi, popote pale penye utelezi wa mambo unaslide hapo hapo.
8: Kitonga tanguliza mbele maslahi yako kwanza,halafu wengine ndio wafuatie.
9: Kitonga usisahau dunia uwanja wa fujo kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake sasa usikae kinyonge.
10: Kitonga uwe na fani yoyote ile iwe inakulinda dili zikiwa zimekauka.
Watu wanaidharau sana hii fani ya ukitonga ila maborn town tunajua hii ni fani kama fani nyingine na ingebidi iwe inafundishwa vyuoni kama somo la ujasiriamali.