Wale wazoefu wa vdonda sugu vya kutahir mnahitajika hapa

Cjuimapenzi

Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
24
Reaction score
3
Naomben msaada wenu mdogo wangu ametahiri tangu mwez wa sita mwanzon (likizo inaanza) mpaka sasa mwez july shule inakaribia kufungua bado kidonda akionyesh dalili ya kupona..naomba mnsaidie dawa gan atumie itakayoweza kukausha kdonda kwa haraka ikiwa bado wiki moja shule ifunguliwe..
 
Tumia hii dawa Dermogard ipo katika tube kama dawa ya mswaki! Mwanangu ametahiriwa amepaka wiki 2 tu kapona na now anakwenda while km kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…