Kuna changamoto ya vyakula tunavyokula sometimes hata mafuta tunayojipakaa miilini mwetu,ukitaka kuamini hili sogea vijijini utakutana na vijana waliojaa stress ana familia ya watoto wanne hajui watakula nini watavaa nini au atawaachia nini ila mvi hana njoo sasa humu mijini kijana hana mtoto hata mmoja kichwani nywele nyeupe!
Pia wengine ni maumbile tu,unakuta wana mvi za kurithi.