The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Correct kabisa📌📌Ni dhana potofu kutokewa na msichana kwamba ni malaya.
Wasichana wanapenda pia. Tatizo wanaume wengi wagumu kuelewa lugha za mademu.
Mtu anajihidisha kukuongelesha kila siku pale ofisini, kupitita ana smile na kukuangalia hadi kisogo cha mwisho unapptezea.
Anakuamini hata kitu kidogo anakuuliza, unachukulia poa.. wakati kuna wanaume wanamkimbiza demu huyo huyo na anawatolea nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakikaAisee ukishangaa ya firauni utayaona ya Musa.
Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli wenye bahati hawabahatishi.
Hebu wenye bahati zenu mtujuze maujanja na sisi tupate hizo zali.
Kweli sijui kwanini?wanakuaga hawakuvutii tatizo, ukigegeda inabidi umvutie hisia Noelia
Mkuyenge upo kwwli... Tuanzie hapoKuna wanawake wanapiga vocal nyieeeee...
Kuna wadada wanajua kutupia nyavu haki wallah..
Niliwahi kupigwa vocal si la mchezo Hadi ikabidi baadae nijikague kwa kugusa mkuyenge Kama upo au nimebadilika jinsia ghafla[emoji28] maana sio kwa zile bembeleza zile ukimjibu "sawa Haina noma " anaona Kama umekataa hivi
Mpaka sasa hajajibu?Nishawai Tongoza mkaka[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]...Sikua nimempenda nilitaka tu kuona Atasemaje....Sikumbuki Kama alijibu.
SIJAWAI rudia
unachosema ni sahihi.....Ni dhana potofu kutokewa na msichana kwamba ni malaya.
Wasichana wanapenda pia. Tatizo wanaume wengi wagumu kuelewa lugha za mademu.
Mtu anajihidisha kukuongelesha kila siku pale ofisini, kupitita ana smile na kukuangalia hadi kisogo cha mwisho unapptezea.
Anakuamini hata kitu kidogo anakuuliza, unachukulia poa.. wakati kuna wanaume wanamkimbiza demu huyo huyo na anawatolea nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimwache Huyo.Kuna kamoja tulikaa siti moja kwenye hiace,kaka niuliza eti "kaka samahani unayafahamu maduka wanayo uza material ya kutengenezea sabuni za chooni hapa mjini.. Nika mjibu ndiyo, kakasema nataka kesho nifuate naomba namba yako ,nika mpa, saa kuminambili kananitumie text ati unafanya nini ? Nika mjibu nafua kakasema nije nikufulie =my love= nika mwambia njoo, akasema na mwogopa wifi , nika mwambia hayupo. Kakaniuliza nishukie wapi?nika mwelekeza . Baada ya dakika kadhaa mtu kaja..hakuna cha kufua wala material ya sabuni, ni kuniita tu majina mara ,love, hone, mara ametokea kunipenda. Abarikiwe mtaalamu alie gundua condoms, . Chupuchupu huyu demu alo nitongoza ni mwoe sema tu alikwenda nursing, ila huyu manzi tume dumu kwenye mahusiano kuliko mamanzi nilio wahi kuwa tongoza. MPaka sasa akiwa likizo lazima aje.. Field zote mkoani kwangu. Manze tufuteni dhana ya manzi akikutongoza ana kisasi au kahaba au gono,
Karoge mkuu upate kutembea na kiziziAisee ukishangaa ya firauni utayaona ya Musa.
Kuna rafiki yangu mmoja dah, jamaa ana bahati sana yaani sehemu yoyote wakati wowote mkiwa nae lazima kuna kademu katamtokea. Hii imekaaje? Kweli wenye bahati hawabahatishi.
Hebu wenye bahati zenu mtujuze maujanja na sisi tupate hizo zali.
Kukapotezea ulikanyanyasa kisaikolojiaunachosema ni sahihi.....
Mfano kuna group la wasap nipo aisee kuna wadada wazuri tuu na watu hawana habari nao ila huko mitaani watu wanatafuta namba zao kwa udi na uvumba........
anyway, nilishwai kuwa approached once....niligundua kitu kimoja wanawake wanapenda utofauti....
Ktk mazingira niliyokuwepo peke yangu nilikuwa naonekana mcha Mungu....yaani jumapili church lazima, matusi ya rejareja no kumbe kuna kidada kilinipenda..akasubiri mpaka skukuu moja hivi akaniita somewhere akaelezea hisia zake..ila nikakapotezeaga tuuu
Hata Sijui yupo wapi sikuwai kumfuatilia... Ni Miaka mingi Sana nyuma.Mpaka sasa hajajibu?