spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Ndio tufoleni apaa kuna wanaume wenzetu hawana wanaponda ni uchafu
Na kuna kidada wanazimia watu wenye ndevu zao mtazamo wako upi bila kujal jinsia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Pouwa
I bet mkuu hauna ndevuNdevu bila Pesa ,ni sawa na Upaa bila Pesa ni sawa na Uchafu tu.
Mimi armpits hapanaKila sehemu inayoota nywele mwilini mwangu basi kuna nywele nyingiiii..
Ninazo Mkuu!!!..... Nmefanya kukazia Pesa, sababu ukiwa na ndevu alafu huzijali NA hauna pesa, mbaya zaidi usiwe na Kariba ya Usafi kujipenda...
ndevu zinaleta mounekano mzuri kwa mwanaume kama zikiwa na matunoz vizuri nazungumzia sio yale makorokoro wanayoyapaka baber shop ila kunyoa na kuziweka level na kuchana inakua poa sana mkuu mimi ninaenjoy na unaonekana umekua....huwa nikinyoa zote naona kama nimekuwa kitoto sanaNdio tufoleni hapa; kuna wanaume wenzetu hawana wanaponda ni uchafu.
Na kuna kidada wanazimia watu wenye ndevu zao. Mtazamo wako upi bila kujali jinsia yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu ukiwa na ndevu kuwa na mwili kidogo ila ukiwa mwembemeb sana na ndevu au umekonda usoni sana halafu na ndevu duuh inakuwaga nomaNdio tufoleni hapa; kuna wanaume wenzetu hawana wanaponda ni uchafu.
Na kuna kidada wanazimia watu wenye ndevu zao. Mtazamo wako upi bila kujali jinsia yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
unakua kama brashihalafu ukiwa na ndevu kuwa na mwili kidogo ila ukiwa mwembemeb sana na ndevu au umekonda usoni sana halafu na ndevu duuh inakuwaga noma
Sure ndevu znatakiwa ztunzweNinazo Mkuu!!!..... Nmefanya kukazia Pesa, sababu ukiwa na ndevu alafu huzijali NA hauna pesa, mbaya zaidi usiwe na Kariba ya Usafi kujipenda...
Unaonekana mzeee
Ndevu kwa mwanaume ni muhimu sanaa aseendevu zinaleta mounekano mzuri kwa mwanaume kama zikiwa na matunoz vizuri nazungumzia sio yale makorokoro wanayoyapaka baber shop ila kunyoa na kuziweka level na kuchana inakua poa sana mkuu mimi ninaenjoy na unaonekana umekua....huwa nikinyoa zote naona kama nimekuwa kitoto sana