Wale wenye ndoa zenu ila mpo "single......"

Wale wenye ndoa zenu ila mpo "single......"

mchakavumlasana

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
389
Reaction score
212
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa.....

Mko kwenye ndoa zenu.......

Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu.............

Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle....

Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu mtulie)

Mkisaidiana na wale ambao wapo lonely but married

Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022.

Wale ambao hamna wa kuzungumza nae wala kucheka nae....ingawa mliosaini nao vyeti mnalala nao kitanda kimoja ..... jipepeeni tu

Wale ambao ndio mastriker.....mnalisha familia nyinyi.....mnalea watoto nyinyi...ila mnakumbatia mito wakati wapenzi wenu wakiwa busy kuchat na wapenzi wao (hahahahahahahahah) vuteni shuka mbu wasiwangate, wale ambao waume zenu 99% ya kipato chao wanahudumia wapenzi wao huko mitaani kunyeweni maji mengi kushusha uchungu........ na wale ambao wapenzi wenu hawarudi kabisa (au wamesafiri na wapenzi wao holiday) huo muda wa kulala usiku bora mkalinde sungusungu

Yaani kiufupi...........

Hebu mjitafakari kwa nini mko na hao wenza wenu.........................

Mchukue hatua ili muachane na upweke

Single wote mlio kwenye ndoa zenu............habari zenu tena.

Na nyie Married but Available(MBA) tutaonana mwakani, labda kutakuwa na ujumbe wa pasaka kwenu!!!!

Heri ya mwaka mpya kwenu wote!!!

Nb
kuna wanaume mbingu mtaisikia tu!!!
 
IMG-20211229-WA0010.jpg


Kulikoni?
Kumetokea nini?

Hakuna jipya. Ndoani huko wengi wanalea watoto tu lakini mapenzi yalishajifia zamani. Ni kila mtu na lwake!
 
Inaskitsha sanaa, weeng waliiingia ndoani kwa kufuata mkumbo. Na wengne n tamaa tu za pesa na kuonesha "umma" (adhira) kuwa wako ndoani(na wao wamepata wa kuwaoa), hawakujitafakar zaid kwamba kuna maisha baada ya harusi.


inasikitisha,

siku hizi hakuna misini ya ndoa kabisa

wengine wanafunga ndoa kwa presha na mikumbo ya jamnii

mwisho wa siku unakuta mweza wake ana mwenza mwingine!!!!
 
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa.....

Mko kwenye ndoa zenu.......

Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu.............

Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle....

Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu mtulie)

Mkisaidiana na wale ambao wapo lonely but married

Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022.

Wale ambao hamna wa kuzungumza nae wala kucheka nae....ingawa mliosaini nao vyeti mnalala nao kitanda kimoja ..... jipepeeni tu

Wale ambao ndio mastriker.....mnalisha familia nyinyi.....mnalea watoto nyinyi...ila mnakumbatia mito wakati wapenzi wenu wakiwa busy kuchat na wapenzi wao (hahahahahahahahah) vuteni shuka mbu wasiwangate, wale ambao waume zenu 99% ya kipato chao wanahudumia wapenzi wao huko mitaani kunyeweni maji mengi kushusha uchungu........ na wale ambao wapenzi wenu hawarudi kabisa (au wamesafiri na wapenzi wao holiday) huo muda wa kulala usiku bora mkalinde sungusungu

Yaani kiufupi...........

Hebu mjitafakari kwa nini mko na hao wenza wenu.........................

Mchukue hatua ili muachane na upweke

Single wote mlio kwenye ndoa zenu............habari zenu tena.

Na nyie Married but Available(MBA) tutaonana mwakani, labda kutakuwa na ujumbe wa pasaka kwenu!!!!

Heri ya mwaka mpya kwenu wote!!!

Nb
kuna wanaume mbingu mtaisikia tu!!!
Wahusika wanakuja kukupa muongozo
 
inasikitisha,

siku hizi hakuna misini ya ndoa kabisa

wengine wanafunga ndoa kwa presha na mikumbo ya jamnii


mwisho wa siku unakuta mweza wake ana mwenza mwingine!!!!
na kadr sku znavyozd kwenda hali za ndoa znazd kuwa mbaaya, kias kwamba hawa ambao hawapo(hawajaingia) ktk taasis hiyo wanapatwa na mashaka juu ya maamuz wanayotaka kuyachukua.
 
Siku hizi wanawake tunafocus kwenye kujipa furaha yetu sisi wenyewe, tofauti na zamani. Tunajitoa out, tunajipeleka shopping... whatever makes us happy.

We don't stay up late wondering where your sorry ass is.

We stay up late working on our side hustles building up empires on our own.

Na hapo ndo mnarudi kuja kulia lia humu kwamba tumekuwa wajeuri tukishapata hela.

Kumbe kule tu kuwapotezea visa vyenu kunatosha tu.

Nyie ndo wa kujitathmini 2022. Because we are not quitting on ourselves anytime soon.
 
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa.....

Mko kwenye ndoa zenu.......

Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu.............

Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle....

Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu mtulie)

Mkisaidiana na wale ambao wapo lonely but married

Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022.

Wale ambao hamna wa kuzungumza nae wala kucheka nae....ingawa mliosaini nao vyeti mnalala nao kitanda kimoja ..... jipepeeni tu

Wale ambao ndio mastriker.....mnalisha familia nyinyi.....mnalea watoto nyinyi...ila mnakumbatia mito wakati wapenzi wenu wakiwa busy kuchat na wapenzi wao (hahahahahahahahah) vuteni shuka mbu wasiwangate, wale ambao waume zenu 99% ya kipato chao wanahudumia wapenzi wao huko mitaani kunyeweni maji mengi kushusha uchungu........ na wale ambao wapenzi wenu hawarudi kabisa (au wamesafiri na wapenzi wao holiday) huo muda wa kulala usiku bora mkalinde sungusungu

Yaani kiufupi...........

Hebu mjitafakari kwa nini mko na hao wenza wenu.........................

Mchukue hatua ili muachane na upweke

Single wote mlio kwenye ndoa zenu............habari zenu tena.

Na nyie Married but Available(MBA) tutaonana mwakani, labda kutakuwa na ujumbe wa pasaka kwenu!!!!

Heri ya mwaka mpya kwenu wote!!!

Nb
kuna wanaume mbingu mtaisikia tu!!!

Umeandika kimzahamzaha lakini unamaanisha na ina maana kubwa sana

Ushauri murua "Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022."

Uwe na mwaka mpya wenye baraka na mafanikio tele
 
Back
Top Bottom