Wale wenye rafudhi kama ya Musonye tukutane hapa kumnanga Zahera na Yanga yake tumechoshwa na hii aibu!!

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Mi naanza: Ifi hii kocha ya Yanga sjui inaitwa eti Mwinyi ifi inafanya sajili gani. Kwa ile mupira niliyoona jusi na jana ikichesa na Tp Masembe au ile timu ya Arabs itapigwa goli 5 times 2 in a single game.
 
Mimi lafudhi ya Uhuru Kenyatta:

Wajemeni hii timu iko inafungwa Hadi na mabodaboda ndio eti ipambane na simba???
Hii kocha Yao sahera sijui imetoka Kwa kaunti gani??
 
Mi naanza: Ifi hii kocha ya Yanga sjui inaitwa eti Mwinyi ifi inafanya sajili gani. Kwa ile mupira niliyoona jusi na jana ikichesa na Tp Masembe au ile timu ya Arabs itapigwa goli 5 times 2 in a single game.
πŸ™πŸΏβ€β™‚οΈπŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…