Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
🤣🤣🤣🤣Wacha nipiteMkuu hapo watoe wanyakyusa unaharibu list.
Kuna chuma za kimbulu zimekamilika mkuu achana na weupe tu , wana nywele ndefu ,nyuso nyembamba na vipua vya kuchongoka , labda kwa dada zetu wachaga mtoa mada awatoe apo.wambulu wanapaishwa sana, ila me wengi wanapenda ke weupe kwahiyo poa, wambulu, wanyaturu wataongoza
mimi naomba niwasifie wasukuma aisee, kule kuna pisi
Duh [emoji849][emoji849][emoji849]
Wapo, ila sometimes wanajiita wairaqHamn kabila la wambulu ila kuna wilaya inaitwa mbulu
Hadi wachaga wamewazidi wasukuma?!Je, Wajua Kuwa Haya Ndio Makabila Yenye Wanawake Wazuri (Warembo) Tanzania[emoji1241] ?
1.Wambulu (Manyara)[emoji1241]
2. Warangi (Kondoa)[emoji1241]
3.Wanyiramba (Singida)[emoji1241]
4. Wanyaturu (Singida)[emoji1241]
5. Wahaya (Bukoba)[emoji1241]
6. Wanyakyusa (Mbeya)[emoji1241]
7.Wapare (Kirimanjaro)[emoji1241]
8.Wachaga (Kirimanjaro)?
Ukweli mtupuKaribia hao watano umetaja hapo lazima huyo mwanamke utamwacha na ndoa kuvunjika
tafsiri ya uzuri kwanza tafadhaliJe, Wajua Kuwa Haya Ndio Makabila Yenye Wanawake Wazuri (Warembo) Tanzania[emoji1241] ?
1.Wambulu (Manyara)[emoji1241]
2. Warangi (Kondoa)[emoji1241]
3.Wanyiramba (Singida)[emoji1241]
4. Wanyaturu (Singida)[emoji1241]
5. Wahaya (Bukoba)[emoji1241]
6. Wanyakyusa (Mbeya)[emoji1241]
7.Wapare (Kirimanjaro)[emoji1241]
8.Wachaga (Kirimanjaro)?