Tetesi: Wale wote tunaojiona hatuko salama kwenye makundi ya whasap kwasababu ya madikteta ya duniani tukutane humu

Tetesi: Wale wote tunaojiona hatuko salama kwenye makundi ya whasap kwasababu ya madikteta ya duniani tukutane humu

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ndugu wana jf kwasasa duniani madikteta yanatoweka ila Kuna yanayozaliwa upya hususan afrika sasa kama unajiona hauko salama kutoa maoni na mawazo yako huko wasap njoo tuyamwage humu na pia tupeane mbinu za kuwaepuka ma infoma wa mitandao ya kijamii wanaoturipoti kwa madikteta ya duniani

Pia tupeane maarifa yà kuwaepuka mainfoma wa madikteta wa afrika ambao hawakawii kukuteka au kukunyakua kimya kimya pia tupe kama una info ya member yoyote wa wasap popote duniani ulipo na kundi LA wasap ambaye unahisi maoni yake ya wasap yamemponza

Kumbuka bosi wa intapo duniani haonekani wewe ninani tusaiduane kuwaepuka madikteta hatari wa afrika na duniani wanaojinasibu wema kumbe wauwaji

Karibuni wahanga wa makundi ya wasap duniani
 
Ndugu wana jf kwasasa duniani madikteta yanatoweka ila Kuna yanayozaliwa upya hususan afrika sasa kama unajiona hauko salama kutoa maoni na mawazo yako huko wasap njoo tuyamwage humu na pia tupeane mbinu za kuwaepuka ma infoma wa mitandao ya kijamii wanaoturipoti kwa madikteta ya duniani

Pia tupeane maarifa yà kuwaepuka mainfoma wa madikteta wa afrika ambao hawakawii kukuteka au kukunyakua kimya kimya pia tupe kama una info ya member yoyote wa wasap popote duniani ulipo na kundi LA wasap ambaye unahisi maoni yake ya wasap yamemponza

Kumbuka bosi wa intapo duniani haonekani wewe ninani tusaiduane kuwaepuka madikteta hatari wa afrika na duniani wanaojinasibu wema kumbe wauwaji

Karibuni wahanga wa makundi ya wasap duniani
Mkuu vipi mbona unaandika kitu ambacho hakieleweki. Bila shaka umepata ile kitu ya Arusha na mbegu zake. Ukipata hiyo kitu na mbegu zake huwa huwezi kubaki salama na matunda yake ndio kama hivi: Kuweweseka!
 
umesomeka sana tuu! kwenye nchi za kidcteta ni kosa kutoa ya moyoni. na ili kudhibiti maa admin wawaondoe wote wanaoonyesha misimamo kinzani na serikali. kimsingi madcteta wote wanafanana tabia
 
Back
Top Bottom