Husika na mada tajwa hapo juu,wahusika tujua kwa ajili ya kuweza kupeana maujanja ya hapa na paleView attachment 1162574
Natumia since 2013 na sijawahi jutiaView attachment 1286101
Tabu kwel kwel[emoji137]
Really!?unanitia moyo
Infinix,tecno,oppo,xiaomi zote hakuna smu. Natumia infinix ila mateso ninayopata basi tu huu mwaka wa mwisho bora nipate hata nokia kitochi tuKuna mtu kanunua jana i simu kakuta simu ina ram 1.4 kafwctory reset bado vile vile.kumaanisha apps zimekula Ram spce yote [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]izi simu za ukoo mmoja na tecno bhana
Infinix,tecno,oppo,xiaomi zote hakuna smu. Natumia infinix ila mateso ninayopata basi tu huu mwaka wa mwisho bora nipate hata nokia kitochi tu
Ndugu Mshana sijawahi amini kama zipo za kichina OG naona zote ni feki tu. Smu inapata moto hadi natamani nivae gloves zile nene za kutolea vyombo kwenye ovenHiyo ni feki
Ndugu Mshana sijawahi amini kama zipo za kichina OG naona zote ni feki tu. Smu inapata moto hadi natamani nivae gloves zile nene za kutolea vyombo kwenye oven
Infinix,itel,tecnoπππYanini tena kiongozi
Infinix,itel,tecno[emoji41][emoji41][emoji41]
uongoππ
tumia iphone mkuu
Xiaomi na oppo haziwezi na hazitakaa zifanane na huo upupu ulotaja hapoInfinix,tecno,oppo,xiaomi zote hakuna smu. Natumia infinix ila mateso ninayopata basi tu huu mwaka wa mwisho bora nipate hata nokia kitochi tu