Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,216
- 1,680
Redmi Note 7 Pro Ram 4Gb 32Gb/64Gb bei gani.?Mi 8 kwa Bongo sijui ni bei gani, pia online kuzipata ni shida kidogo kwa sasa, labda upate mtu kutoka China su India akuchukulie kwenye Mi Store.
Bei ya Redmi Note 7 inategemeana na storage na rangi ya simu, sijui wewe unahitaji ipi?!
Hizo ni optional. Si lazima kujazaHv kule AliExpress pale kwenye Address chini walipoandika APT, SUITE UNit unajaza nni?
Huenda mkuu sina uhakikaMwanzoni nilikuwa natumia Mi 5c,kulikuwa na themes za iphone ambapo nilikuwa niki set zinabadili hadi zile icon za network ila kwa sasa natumia RN7,naona nikibadili themes zile icon za network zinabaki vile vile,vipi wakuu au hizi RN7 hazina uwezo huo?
Sasa kwanini unapenda iphone alafu unanunua RN7 boss wangu hapo bado haujakuwa tofauti inabidi tu utumie iphone boss wangu ili upate kitu roho inapenda.Mwanzoni nilikuwa natumia Mi 5c,kulikuwa na themes za iphone ambapo nilikuwa niki set zinabadili hadi zile icon za network ila kwa sasa natumia RN7,naona nikibadili themes zile icon za network zinabaki vile vile,vipi wakuu au hizi RN7 hazina uwezo huo?
Sasa kwanini unapenda iphone alafu unanunua RN7 boss wangu hapo bado haujakuwa tofauti inabidi tu utumie iphone boss wangu ili upate kitu roho inapenda.
Teh hupendi Nyama nyekundu ila ila mchuzi wake unaupenda anyway naamini ni uamuzi wako wala sikuwa katika lengo la kukupangia kiongozi nini ufanye au nini upende tuendeleze uzi wetu pendwa wa MI🙏Hakuna sehemu niliyosema napenda iphone nimesema napenda themes za iphone au kama kunasehemu nimeandika napenda iphone hebu nionyeshe
Teh hupendi Nyama nyekundu ila ila mchuzi wake unaupenda anyway naamini ni uamuzi wako wala sikuwa katika lengo la kukupangia kiongozi nini ufanye au nini upende tuendeleze uzi wetu pendwa wa MI[emoji120]
7 pro bei gani ulichukua huko Uchina mkuu
Bado kabisa sahau hasa hapo upo nchi nyingine ingeandikwa destination tayariWakuu ,nina swali ,hapo inamaanisha mzigo ushafika Mkoani huku POSTA??
Mnieleweshe kidogo wazoefuView attachment 1171783
Ahaaaa ahsante mkuu,Estimated Date ni Tarehe 20/8 mpaka 29/8Bado kabisa sahau hasa hapo upo nchi nyingine ingeandikwa destination tayari
Inategemea pia na shipping company kama singapore post au aliexpress standard shipping ni kabla hapo umefikaAhaaaa ahsante mkuu,Estimated Date ni Tarehe 20/8 mpaka 29/8
So,bado nasubiri
Kwani Mkuu Singapore post iko poa sana eeehInategemea pia na shipping company kama singapore post au aliexpress standard shipping ni kabla hapo umefika
Hao jamaa wapo fasta sanaKwani Mkuu Singapore post iko poa sana eeeh
Kuliko ali express standard shiping mkuuHao jamaa wapo fasta sana