Mkuu hata mimi sina solution kwasasaWakuu sangawejr, deojames kwahiyo issue ya simu yangu nisahau maana sijapata msaada effectively
Karibu kwenye ulimwengu huu mkuu...Hayawi hayawi sasa yamekuwa, leo nimepokea mzigo wa kwanza kati ya miwili niliyoiagiza kwaajili majaribio kupitia AliExpress(Standard Shipping).
Mzigo umechukua siku 18 tu ukaingia DSM na siku 2 kuja huku niliko, hakuna malipo yoyote pale Posta tena huyu muhudumu wa Posta kachukua namba yangu ya simu kwaajili ya kunitaarifu juu ya mzigo wangu mwingine utakapofika.
Sasa rasmi naagiza Xiaomi Redmi Note 7.View attachment 1214243View attachment 1214244View attachment 1214245
You mean Redmi 6Pro au Redmi Note6pro?Vipi kuhusu RN6P ni ROM mbili au moja?
You mean Redmi 6Pro au Redmi Note6pro?
Redmi note 6pro ina toleo moja tu mkuu.Redmi note 6 pro
Redmi note 6pro ina toleo moja tu mkuu.
Vipi ulitaka Rom ya namna gani, maana yenyewe ina Global version yenye MIUI.
Hizo Earphone umechukua kwa Sh ngapi??Hayawi hayawi sasa yamekuwa, leo nimepokea mzigo wa kwanza kati ya miwili niliyoiagiza kwaajili majaribio kupitia AliExpress(Standard Shipping).
Mzigo umechukua siku 18 tu ukaingia DSM na siku 2 kuja huku niliko, hakuna malipo yoyote pale Posta tena huyu muhudumu wa Posta kachukua namba yangu ya simu kwaajili ya kunitaarifu juu ya mzigo wangu mwingine utakapofika.
Sasa rasmi naagiza Xiaomi Redmi Note 7.View attachment 1214243View attachment 1214244View attachment 1214245
Redmi Note 6pro ina global version yenye MIUI.Global
Chukua hiyo picha ka-scan kule.Hizo Earphone umechukua kwa Sh ngapi??
Duuuh [emoji16][emoji16][emoji16]Chukua hiyo picha ka-scan kule.
Siyo mimi niliyonunua..muda umepita tangu uulize ilo swali na hujajibiwa, scan ujueDuuuh [emoji16][emoji16][emoji16]
Umenipa njia ya kwenda kwenye site ya AliExpress ,ila ulitakiwa kunijibu tu ulinunua kiasi kadhaa ,niliuliza unenunua sh ngapi/BEI
Sisi wenye Note 6pro, ngoja tukae kimya maana hatukupewa priority kwenye hiyo update.Hayawi hayawi hatimae yamekua nw, tunasubiri leo update ya miui 11 kama walivyoahidi, kwani ni leo hii Mwenye uelewa zaidi au info zaidi atuwekee hapa
Hayawi hayawi hatimae yamekua nw, tunasubiri leo update ya miui 11 kama walivyoahidi, kwani ni leo hii Mwenye uelewa zaidi au info zaidi atuwekee hapa
Basi mkuu sio kesi NGOJA NIMSUBIRI KAZETELA alete jibu/link [emoji16]Siyo mimi niliyonunua..muda umepita tangu uulize ilo swali na hujajibiwa, scan ujue
Mkuu hizo earphone mdau post za nyuma alisema anajaribu kuagiza bidhaa ya bei ndogo aone kama mzigo utamfikia. Ndio akaagiza hizo earphone. so hapo bei ni kuanzia 2000 hadi 10,000.Basi mkuu sio kesi NGOJA NIMSUBIRI KAZETELA alete jibu/link [emoji16]
Ukiscan kwa picha zinakuja picha za bidhaa kama 1000 hivi za Earphones hizo ,ntajua ipi ni ipi?,unajua mpaka amenunua/kununuliwa ina maana bidhaa aliichunguza kwa makini.
Humu huwa tunasaidiana kwa kumpa mtu LINK ya Bidhaa husika ndio rahisi zaidi na sio KUSCAN
Anyway Mchana mwema
Huu mzigo mkuu nenda posta utapata majibu vizuri. Yawezekana upo tu posta huo mzigo hata kama upo mkoani kwa huo muda hapo yawezekana mzigo ulishafika.Nina mzigo umekwama sehemu moja siku 18. Tracking inasema Arrival at Destination Post (Country: TZ).
Nikitrack kwenye website ya Posta inasema No information available for this shipment
Nini cha kufanya wadau View attachment 1214855View attachment 1214856