pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Zipo.Kwani Global zimeshatoka!?
Hapo muda ukiisha ni ku open tu mkuu, atume tena au akupe tu pesa yako.Kuna percel yangu moja nilinunua na nikatumia shiping method ya mda mrefu, nw naona kesho ndio ile maxmum ya uliowekwa inafika. Na hakuna mzigo wowote thaman ya mzigo wenyewe ni shilings mbili elfu tu je niopen dispute au
Kuna kama week mbili tena za kusubiriKuna percel yangu moja nilinunua na nikatumia shiping method ya mda mrefu, nw naona kesho ndio ile maxmum ya uliowekwa inafika. Na hakuna mzigo wowote thaman ya mzigo wenyewe ni shilings mbili elfu tu je niopen dispute au
Ungeweka bajeti yako kwa kila simu ingekuwa bora zaid kupata machaguo sahihi.Nahitaji Xiaomi kuagiza nje..ushauri nahitaji mbili za price ya chini zenye ubora
Ingetakiwa uki-open dispute, pakikucha tu hela iko mfukoni!Kuna kama week mbili tena za kusubiri
Isizidi 200000Ungeweka bajeti yako kwa kila simu ingekuwa bora zaid kupata machaguo sahihi.
Kama utaagiza Mwenyewe kwa hiyo budget utapata xiaomi redmi 7A ya 2/16GB.Isizidi 200000
Nataka kuchukua mbili
Kama utaagiza Mwenyewe kwa hiyo budget utapata xiaomi redmi 7A ya 2/16GB.
Ongeza mpunga angalau ifike 220,000 uchukue za 2/32GB.
NB.
Kuàgiziwa inabidi muyajenge na muagizaji
Ukipewa kibano na TRA sijui utajificha wapi?Namuahid sitomchaji ata mia nimuagizie mie
Ukipewa kibano na TRA sijui utajificha wapi?
Ukipewa kibano na TRA sijui utajificha wapi?
Haipo dispute ya siku 20 mkuu dispute ndani ya siku 3 - 4 hela inarudishwa. Japo haitokuwa sawa na pesa uliyo katwa awali.Ingetakiwa uki-open dispute, pakikucha tu hela iko mfukoni!
Sasa haya ya kusubir siku 20 ni kutesana sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ndio nitamshirikisha ili tuweze kujua kama tunagawana kodi au ananiachia simu
ni aina gan hyo?Huku kwenye refurbished kuna simu kali kinyama afu bei chee
ni aina gan hyo?