Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,535
Daah mkuu inamaana seĺler hajakutumia pdf attachment via email?Mkuu nimetoka kuchukua Redmi 7A kwa ajili ya wife
Lakini upepo wa TRA umenipiga jumla 42,000, hata simu yenyewe naipokea bila furaha
Nimefika mapokezi muhudumu ananiuliza ww ni mgeni? Nikamjibu ndio!
Akasema tuone mtandao ulionunulia tujue Bei ya mzigo, nikazuga seller hajatuma Bei
Akasema akikutumia urudi tucheki..
Sikua na jinsi ikabidi nimfungulie simu akachukua acheki Bei halisi
wamenivua 42,000 TZS hiyo [emoji29]
Daah mkuu inamaana seĺler hajakutumia pdf attachment via email?
Au alikuwa hatoi ushirikiano??
** Muhimu tusisitize seller anapotuma mzigo akutumie kabisa declaration value maana hawajamaa wa TRA midà mingine wanakomoa.
Baadae nitaweka attachment hapa
Daah mkuu inamaana seĺler hajakutumia pdf attachment via email?
Au alikuwa hatoi ushirikiano??
** Muhimu tusisitize seller anapotuma mzigo akutumie kabisa declaration value maana hawajamaa wa TRA midà mingine wanakomoa.
Baadae nitaweka attachment hapa
Piga picha ya vyote ulivyopata kama evidence then fungua dispute akurefund.Alafu hajaweka glass porotecter wakati niliadd
Nifanyeje nipate porotecter mkuu
Piga picha ya vyote ulivyopata kama evidence then fungua dispute akurefund.
Wakati unasubiria ağiza protector kwa sellers wengine.
Kama mtakubaliana usubiri akutumie fantancy hiyo ni juu yako
Mkuu nimetoka kuchukua Redmi 7A kwa ajili ya wife
Lakini upepo wa TRA umenipiga jumla 42,000, hata simu yenyewe naipokea bila furaha
Nimefika mapokezi muhudumu ananiuliza ww ni mgeni? Nikamjibu ndio!
Akasema tuone mtandao ulionunulia tujue Bei ya mzigo, nikazuga seller hajatuma Bei
Akasema akikutumia urudi tucheki..
Sikua na jinsi ikabidi nimfungulie simu akachukua acheki Bei halisi
wamenivua 42,000 TZS hiyo [emoji29]
Mdai gharama ya protector+shiDah gharama ya shipping tena juu yangu
Asante kwa ushauri ndugu
Mdai protector+shipping feeDah gharama ya shipping tena juu yangu
Asante kwa ushauri ndugu
Anza kuchat na Seller akupe Invoice ya declaration value .Daah nikiona hii habar nawaza sanaa maana nimetok kulipia sim iko njian aisee sijui nitawaepukaje hao jamaa,,
Em tupeane maujanja wadau.
Anza kuchat na Seller akupe Invoice ya declaration value .
Mimi sijawahi kudakwa ila jamaa wanaweza kukuotea.
Anza kuchat na Seller akupe Invoice ya declaration value .
Mimi sijawahi kudakwa ila jamaa wanaweza kukuotea.
Hii Sasa ishakua taabu!Mkuu nimetoka kuchukua Redmi 7A kwa ajili ya wife
Lakini upepo wa TRA umenipiga jumla 42,000, hata simu yenyewe naipokea bila furaha
Nimefika mapokezi muhudumu ananiuliza ww ni mgeni? Nikamjibu ndio!
Akasema tuone mtandao ulionunulia tujue Bei ya mzigo, nikazuga seller hajatuma Bei
Akasema akikutumia urudi tucheki..
Sikua na jinsi ikabidi nimfungulie simu akachukua acheki Bei halisi
wamenivua 42,000 TZS hiyo [emoji29]
Aisee Pole Mkuu.Mkuu nimetoka kuchukua Redmi 7A kwa ajili ya wife
Lakini upepo wa TRA umenipiga jumla 42,000, hata simu yenyewe naipokea bila furaha
Nimefika mapokezi muhudumu ananiuliza ww ni mgeni? Nikamjibu ndio!
Akasema tuone mtandao ulionunulia tujue Bei ya mzigo, nikazuga seller hajatuma Bei
Akasema akikutumia urudi tucheki..
Sikua na jinsi ikabidi nimfungulie simu akachukua acheki Bei halisi
wamenivua 42,000 TZS hiyo [emoji29]
Aisee Pole Mkuu.
Ila hawa jamaa wapunguze Kodi ili watu wapende kulipa kodi,21% ni parefu sana
Yalinikuta hayo Mkuu,tena sio Mara moja[emoji38][emoji38]Asante Nimepoa mkuu
Unaenda kufata mzigo nusu una hamu na mzigo, nusu unahofu ya kodi [emoji3]
Mdai gharama ya protector+shi
Mdai protector+shipping fee
Wakuu hayo maneno kwenye Update yanamaanisha kitu gani?View attachment 1228959
Wadau msaada hapa mi ndo mara ya kwanza hii
Hiyo kodi ulipewa control namba ya kulipia?!Mkuu nimetoka kuchukua Redmi 7A kwa ajili ya wife
Lakini upepo wa TRA umenipiga jumla 42,000, hata simu yenyewe naipokea bila furaha
Nimefika mapokezi muhudumu ananiuliza ww ni mgeni? Nikamjibu ndio!
Akasema tuone mtandao ulionunulia tujue Bei ya mzigo, nikazuga seller hajatuma Bei
Akasema akikutumia urudi tucheki..
Sikua na jinsi ikabidi nimfungulie simu akachukua acheki Bei halisi
wamenivua 42,000 TZS hiyo [emoji29]