Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Kwenye kuagiza tuna save mkwanja mwingi, ukilinganisha na bei wanazouza kwenye local stores. Kusubiria ndio changamoto ila sio kubwa sana kwani 2-4 weeks ni siku chache sana kwangu.Kwenda Kenya ni gharama japo ni muda mfupi unakuwa na chako mkononi.
Ya kuagiza ni nzuri japo wahudumu wa benk walinitahadharisha fedha ikipotea kwenye ac yako usilalamike. Maana inapojiunga Paypal unawapa ruhusa ya kufanya yao. Mh nikasema poa ngoja nifungue ac nyingine kwa ajil ya manunuzi.
Tatizo hatujiamini. Mzigo kukaa njian siku 30-40 mh .
Lakn ingefaa hata boxa( chupi) tuagize nje.......
Haizidi mwezi?Kwenye kuagiza tuna save mkwanja mwingi, ukilinganisha na bei wanazouza kwenye local stores. Kusubiria ndio changamoto ila sio kubwa sana kwani 2-4 weeks ni siku chache sana kwangu.
wengine wanakwambia 30-40 days..Haizidi mwezi?
Ndio wanakuandikia hivo lkn mara nyingi hazifiki hizo siku.wengine wanakwambia 30-40 days..
huu si ufala!!
poa boss maana wengine zinatutishaga sana hizo mamboNdio wanakuandikia hivo lkn mara nyingi hazifiki hizo siku.
Xiaomi redmi 5 plus wameshaanza kuziuza aliexpress.Bora nisubirie hii ingawa nilikuwa na mpango nochukue note 4x
Mkuu ni nini tofauti ya hizi redmi na hizi za Mi?Xiaomi redmi 5 plus wameshaanza kuziuza aliexpress.
utofauti wake ni series tu...kuna series za Mi ambapo kuna Mi 1 mpka saiv kuna Mi 6...kuna series za redmi pia ambapo kuna redmi 1 , redmi note, pia kuna series ya Mi MixMkuu ni nini tofauti ya hizi redmi na hizi za Mi?
Mkuu samahan, hzo redmi note zinakuwa na pen?utofauti wake ni series tu...kuna series za Mi ambapo kuna Mi 1 mpka saiv kuna Mi 6...kuna series za redmi pia ambapo kuna redmi 1 , redmi note, pia kuna series ya Mi Mix
saiv kuna series ya Mi A
apana,Mkuu samahan, hzo redmi note zinakuwa na pen?
Asante mkuuapana,
Xiaomi redmi 5 plus wameshaanza kuziuza aliexpress.
duh....tam kwel aisee apa crdt card ishaanza kuvibrate
Kweli ni Nzuri kinoma dah kuna app moja yaku Dizain themes uitakayo kwa xiaom ila mimi mvivukwa wale tunaotumia xiaomi naomba niwape kitu kizur sana kitakachobadlsha muonekano wa simu yako uzidi kuipenda...kuna theme moja inaitwa Small town NY...i recommend this and i promise u won't regret downloading it kutoka built in theme app katika simu zetu
redmi note 4 ni nzuri kushinda 5A sababu note 4 ina snapdragon 625 ambayo ni nzuri kuliko snapdragon 435.
kifupi mwaka 2017 hakikisha simu yako soc yake (processor) imetengenezwa kwa technology ya 14nm au 10nm kwani simu hizi zinakaa na chaji sana na zina nguvu zaidi.
kama budget ndogo cheki hii simu mpya ya redmi 5
1. utapata muonekano wa kisasa zaidi ambao hauna bezell, simu ndogo kioo kikubwa,
2. bei ndogo kuanzia dola 120
3.soc ya kisasa ya Snapdragon 450
4. specs nyengine nzuri kama battery kuanzia 3300mah mpaka 4000mah, ram 2gb kupanda, storage 16gb kupanda etc.
sema itabidi usubirie
Baba nmeiona hiyo theme ni nomaa ....thankskwa wale tunaotumia xiaomi naomba niwape kitu kizur sana kitakachobadlsha muonekano wa simu yako uzidi kuipenda...kuna theme moja inaitwa Small town NY...i recommend this and i promise u won't regret downloading it kutoka built in theme app katika simu zetu
kali kinoma...developer kajitahidiBaba nmeiona hiyo theme ni nomaa ....thanks