Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
-
- #4,421
N nn hiking kiongozi fafanua plz if posibleNashindwa kuelewa ni kwanini Xiaomi wamekwama kwenye kioo cha 90hz refresh rate QHD
Ungetoa maelezo kamili,umepotezaje hizo hela nyingi? Wenzio tunanunua huko ndio cheapBORA KUNUNUA SIMU DUKANI KULIKO KUAGIZA ONLINE
NIMEPOTEZA HELA NYINGI
Mkuu pandagichiza hua sikuelew elew maamuzi yako, hii Michezo ya online purchase soon game ndogo ni wachache tunaowexa kusotea au kam washindwa ni vyema ukamwamini mtu anayefanya huduma hio ukapat stahiki yako. Nimekua nikikuona mara nyingi ukizungumzia malengo yako ya kuagiza vitu na ukawa unaomba ushauri na tricks, Leo unasema tena ukanunue dukani nenda tu bouy kanunue spark 3BORA KUNUNUA SIMU DUKANI KULIKO KUAGIZA ONLINE
NIMEPOTEZA HELA NYINGI
Nimeingia, wameniletea hii hapa mkuu hebu nifafanulie hapoKwanza fanya hivi ingia website ya Posta (nimeshindwa kuweka link yao maana wakati nakujibu website haikuwa inafunguka). Pili utaenda sehemu ya domestic parcel tracking then utaweka tracking number yako ulipewa aliexpress, utaona location ya parcel ilipo kwasasa.
Kwanza wasiliana na watu wa posta kama mzigo wameupokea au la. Unaweza kuiweka hiyo tracking number hapaSorry mkuu usinichoke,
Kama hadi sasa siku kumi zimefika package haijafika wilayan natakiwa kufanyaje?
Kwanza niliagiza simu nokia c2-02 nimetumia haikumaliza hata mwezi ikaharibika zimezunguka kwa mafundi sijapata solution.Mkuu pandagichiza hua sikuelew elew maamuzi yako, hii Michezo ya online purchase soon game ndogo ni wachache tunaowexa kusotea au kam washindwa ni vyema ukamwamini mtu anayefanya huduma hio ukapat stahiki yako. Nimekua nikikuona mara nyingi ukizungumzia malengo yako ya kuagiza vitu na ukawa unaomba ushauri na tricks, Leo unasema tena ukanunue dukani nenda tu bouy kanunue spark 3
RB827066926SGKwanza wasiliana na watu wa posta kama mzigo wameupokea au la. Unaweza kuiweka hiyo tracking number hapa
Wasiliana na seller mkuu! Hii ina walakin maana kwenye system ya posta haipo.RB827066926SG
Kwanza niliagiza simu nokia c2-02 nimetumia haikumaliza hata mwezi ikaharibika zimezunguka kwa
Hii inaonekana ishafika bongo. Hawa wabongo ndio wanazingua, seller atamwambia awasiliane na local posta. Kama ni mkoani itamfikia tu.Wasiliana na seller mkuu! Hii ina walakin maana kwenye system ya posta haipo.
Mkuu nawewe si juzitu ulikua unalia kuhusu kupigwa pesa na voda, hujakoma tu till nw?Pole mkuu
Hata Kariakoo ukinunua zinaharibika
Ila mwenzetu umeanza vibaya
Mimi huniambii kitu mtandaoni ndo napata kitu roho inataka
Maana kabla sijaoda naangalia maoni ya wanunuzi waliopita
Hapo lazima niibuke mshindi
Kwa sasa Kariakoo hunipeleki
Mkuu nawewe si juzitu ulikua unalia kuhusu kupigwa pesa na voda, hujakoma tu till nw?
Inaendaje hio mdogo wangu itakapofika pia, kabla ya ku unbox plz utaangalia pm yako utakuta namba yangu hapo kama mwanzisha uzi uniwekee chochote kizidi kunijenga kwa huu uzi wanguNdo tunaita kupevuka huko mkuu, sio kila siku utachekelea mambo laini
Pesa zimerudishwa juzi jioni
Juzi hiyohiyo nikazama China nikaibuka na Mi 9t 6GB/128GB
Hapa nipo nasubiri ifike, sina presha kabisa kama nimetoka gengeni kununua nyanya vile
Inaendaje hio mdogo wangu itakapofika pia, kabla ya ku unbox plz utaangalia pm yako utakuta namba yangu hapo kama mwanzisha uzi uniwekee chochote kizidi kunijenga kwa huu uzi wangu
Aliexpres agiza brand new tu maana used/refubrished hazipo vizuri kule.Kwanza niliagiza simu nokia c2-02 nimetumia haikumaliza hata mwezi ikaharibika zimezunguka kwa mafundi sijapata solution.
Nikaagiza vitu vingine havikufika nikadai refund nikarudishiwa hela yangu.
Nikaagiza tena kabla hazijafika nimelog in nimekuta information zote zimefutika, maana yake siwezi ku track,kudai refund etc
Nasahaulika kivipi ndugu yangu fafanua nipate Elewa[emoji23][emoji23] Mwanzisha uzi unasahaulika sana unaacha wachina wanachukua point zote
320 USD mkuu mwendo wa DHL [emoji28]
Ahaaa watu wanaopoa hadi vidada macho madogo huko while mtoa mada kalala doro[emoji23][emoji23] Mwanzisha uzi unasahaulika sana unaacha wachina wanachukua point zote
320 USD mkuu mwendo wa DHL [emoji28]
Kwanza niliagiza simu nokia c2-02 nimetumia haikumaliza hata mwezi ikaharibika zimezunguka kwa mafundi sijapata solution.
Nikaagiza vitu vingine havikufika nikadai refund nikarudishiwa hela yangu.
Nikaagiza tena kabla hazijafika nimelog in nimekuta information zote zimefutika, maana yake siwezi ku track,kudai refund etc
Mmeanza mmeanza niko bize na maandaliz ya mazishi ya Arap moi tukutane baadae ila connections zinahitajika na tu we na group yetu ya Telegram plzAhaaa watu wanaopoa hadi vidada macho madogo huko while mtoa mada kalala doro
Sorry mkuu usinichoke,
Kama hadi sasa siku kumi zimefika package haijafika wilayan natakiwa kufanyaje?